Ng'wanamalundi
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,203
- 1,422
Mambo ya CCM yanakuhusu nini kama wewe si mwanachama?tupe ibara ya katiba ya CCM tuione
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya CCM yanakuhusu nini kama wewe si mwanachama?tupe ibara ya katiba ya CCM tuione
Hiyo akili matope?Japo hujaweka ushahidi maana kwa uzushi hamjambo lakini kwani huyo mpogolo yeye sio mwanachama? kujazisha fomu kuna uhusiano gani na maamuzi?.Mimi fomu yangu ya kugombea ubunge nitampa mwanachama mwenzangu wa CCM JOHN Magufuli anizungushie kusaininisha fomu yangu sababu naye ni mwanachama. sioni shida
Sasa kama yupo mwenyewe wadhamini wa kazi gani? Maana hata wawepo au wasiwepo hamna impact yoyote.Wewe ni mfuasi, kama siyo mwanachama, wa CHADEMA, wajibika kwa taratibu za chama chako. Hata vile, kama una nia ya kutia nia ya kugombea Urais CCM, fanya hivyo na bila shaka utapewa fomu na baada ya hapo fuata masharti yaliyomo.
Moja ya sharti la msingi ni kupata wadhamini kwenye mikoa ya Tanzania Bara na Zanzibar kwa idadi ya wadhamini na mikoa kama ilivyoainishwa. Njia gani utatumia kupata hao wafuasi ni juu yako mradi wawe ni wadhamini halisi siyo wa kugushi...
Mh! Ndiyo kiwango chako cha kujadili[emoji848] Hakika ni mshangao!!!!!Huna hoja wewe
Unauliza, kushangaa na kujijibu.Sasa kama yupo mwenyewe wadhamini wa kazi gani?? Maana hata wawepo au wasiwepo hamna impact yoyote.
Hayo mafuta na posho atakayozungukia huyo mpogoro Tanzania yangefanya mambo mengine ya msingi.
Utaratibu wa miaka yote mgombea mwenyewe au wapambe wake ndio wenye jukumu la kutafuta wadhamini wa Mgombea wao , si viongozi wa Makao Makuu, hii ni kwa sababu viongozi hao hawatakiwi kubagua wanachama , maana wagombea wanaweza kuwa zaidi ya mmoja , ndio maana wagombea wote wa urais wa CCM 2015 akiwemo mkulima kapuku wa Kigoma waliwajibika wenyewe kutafuta wadhamini , lakini Rodrick Mpogolo ambaye ni kiongozi wa Makao Makuu anahangaika kumtafutia wadhamini Mgombea aliyeomba mwenyewe kugombea urais .
Sasa swali ni iwapo kutakuwa na wagombea wengine kama inavyotarajiwa na wanaccm , viongozi wa Makao Makuu watajigawa namna gani , kwanini wasiache wagombea wajitafutie wenyewe wadhamini ?
Wivu utawaua. JPM ndiye rais wetu mtake msitake.
MembeKwani kuna nani anataka kuchukua fomu mwingine?
Hv kila kukicha mnavyoiongelea chadema na Mambo yke inakuwaga Ina wahusu?Mambo ya CCM yanakuhusu nini kama wewe si mwanachama?
MembeKwani kuna nani anataka kuchukua fomu mwingine?
Membe
Membe
Mkuu habari za GeitaUsitusumbue na hicho kifafa chako
Wivu tu. Dkt Magufuli ni jembe letu! Mungu ambariki sana.Hilo halina mjadala, na ni muongo wa kutupa, achia mbali kwamba hana hoja za ushawishi zaidi ya shuruti. Hili taka usitake.