Uchaguzi 2020 Maajabu: Fomu ya kuomba Wadhamini ya Mgombea wa CCM inatembezwa na Viongozi wa CCM Makao Makuu...

Uchaguzi 2020 Maajabu: Fomu ya kuomba Wadhamini ya Mgombea wa CCM inatembezwa na Viongozi wa CCM Makao Makuu...

Ushindi lazima
We muongo hakuna cha ushindi wa lazima kwani yeye ndo anajipigia kura? Kwanini
Wana Ccm mnajitoa ufahamu kama vile MNA hati miliki na nchi hii.acheni izo na tupo sasa maana umenipa hasra na kwa kusema ni lazima tiyari umempunguzia kura za kutosha .mnamharibia sana mgombea wenu
 
Utaratibu wa miaka yote mgombea mwenyewe au wapambe wake ndio wenye jukumu la kutafuta wadhamini wa Mgombea wao , si viongozi wa Makao Makuu, hii ni kwa sababu viongozi hao hawatakiwi kubagua wanachama , maana wagombea wanaweza kuwa zaidi ya mmoja , ndio maana wagombea wote wa urais wa CCM 2015 akiwemo mkulima kapuku wa Kigoma waliwajibika wenyewe kutafuta wadhamini , lakini Rodrick Mpogolo ambaye ni kiongozi wa Makao Makuu anahangaika kumtafutia wadhamini Mgombea aliyeomba mwenyewe kugombea urais .

Sasa swali ni iwapo kutakuwa na wagombea wengine kama inavyotarajiwa na wanaccm , viongozi wa Makao Makuu watajigawa namna gani , kwanini wasiache wagombea wajitafutie wenyewe wadhamini?
Wapi imeandikwa kwamba ukichukua form sharti uitembeze wewe mwenyewe mtia nia. Ucha kukariri wewe kuwa mchambuzi
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Utaratibu wa miaka yote mgombea mwenyewe au wapambe wake ndio wenye jukumu la kutafuta wadhamini wa Mgombea wao , si viongozi wa Makao Makuu, hii ni kwa sababu viongozi hao hawatakiwi kubagua wanachama , maana wagombea wanaweza kuwa zaidi ya mmoja , ndio maana wagombea wote wa urais wa CCM 2015 akiwemo mkulima kapuku wa Kigoma waliwajibika wenyewe kutafuta wadhamini , lakini Rodrick Mpogolo ambaye ni kiongozi wa Makao Makuu anahangaika kumtafutia wadhamini Mgombea aliyeomba mwenyewe kugombea urais .

Sasa swali ni iwapo kutakuwa na wagombea wengine kama inavyotarajiwa na wanaccm , viongozi wa Makao Makuu watajigawa namna gani , kwanini wasiache wagombea wajitafutie wenyewe wadhamini?
Fomu imechapishwa moja tu hiyo ndio demokrasia ya lumumba,wao hawana jipya ni mbowe tu kila uchwao.
Naskia mgombea wao ni kama kim kule korea yeye ndio rais wa maisha
 
Utaratibu wa miaka yote mgombea mwenyewe au wapambe wake ndio wenye jukumu la kutafuta wadhamini wa Mgombea wao , si viongozi wa Makao Makuu, hii ni kwa sababu viongozi hao hawatakiwi kubagua wanachama , maana wagombea wanaweza kuwa zaidi ya mmoja , ndio maana wagombea wote wa urais wa CCM 2015 akiwemo mkulima kapuku wa Kigoma waliwajibika wenyewe kutafuta wadhamini , lakini Rodrick Mpogolo ambaye ni kiongozi wa Makao Makuu anahangaika kumtafutia wadhamini Mgombea aliyeomba mwenyewe kugombea urais .

Sasa swali ni iwapo kutakuwa na wagombea wengine kama inavyotarajiwa na wanaccm , viongozi wa Makao Makuu watajigawa namna gani , kwanini wasiache wagombea wajitafutie wenyewe wadhamini?
Hao wanaozunguka kumtafutia wadhamini ndo wapambe wake kama ulivyotangulia kusema na CCM haimpangii mgombea wapambe, vipi tena mwana UFIPA ya LUMUMBA unayafuatilia ya nini?
 
Back
Top Bottom