Uchaguzi 2020 Maajabu: Fomu ya kuomba Wadhamini ya Mgombea wa CCM inatembezwa na Viongozi wa CCM Makao Makuu...

Hiyo akili matope?
 
Sasa kama yupo mwenyewe wadhamini wa kazi gani? Maana hata wawepo au wasiwepo hamna impact yoyote.
Hayo mafuta na posho atakayozungukia huyo mpogoro Tanzania yangefanya mambo mengine ya msingi.
 
Sasa kama yupo mwenyewe wadhamini wa kazi gani?? Maana hata wawepo au wasiwepo hamna impact yoyote.
Hayo mafuta na posho atakayozungukia huyo mpogoro Tanzania yangefanya mambo mengine ya msingi.
Unauliza, kushangaa na kujijibu.
 
Jakaya alipochukua fomu ya kuwania Urais 2010 na kumpa Mwanachama mwenzake Ridhwan Kikwete amtaftie wadhamini basi kina Saeed kubenea na wana Chadema wenzie walimtukana sana Jk kwa madai eti kadharau Viongozi wenzake ambao wangeweza kumsaidia kupata wadhamin, leo hao hao wanapinga ushauri wao

Viva Ngosha
 
Reactions: mmh

Kwani kuna nani anataka kuchukua fomu mwingine?
 
Vitu vingine hata msitokwe povu unnecessarily. Hivi unategemea kabisa CCM imtupe Magufuli na kuteua mtu mwingine? Nani kwanza atajitokeza zaidi ya wakulima hohehahe!?
 
Kwa saivi wadhamini ndo wanaitafuta form yake kuidhamini, wataifata popote ilipo na kusaini chap
 
Hilo halina mjadala, na ni muongo wa kutupa, achia mbali kwamba hana hoja za ushawishi zaidi ya shuruti. Hili taka usitake.
Wivu tu. Dkt Magufuli ni jembe letu! Mungu ambariki sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…