Maajabu haya: Shaka asema Ajira zaidi ya milioni 35 zimezaliwa miezi sita ya Rais Samia

Maajabu haya: Shaka asema Ajira zaidi ya milioni 35 zimezaliwa miezi sita ya Rais Samia

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Tanzania ina watu wanaokimbilia milioni sitini ikijumuisha watu wenye uwezo wa kufanya kazi na wasio kwenye kundi hilo kama watoto na wenye umri mkubwa.

Sasa ndugu Shaka anasema miezi michache ya Rais Samia Tanzania imepata uwekezaji wa dola bilioni 3.5 ambapo imezaa ajira zaidi ya milioni 35 kwenye miezi yake sita.

Sasa hii si karibu asilimia zote 100 ya workforce yote iliyopo nchini na tusingehangaika kwa kuwapeleka wamachinga maana automatically wangekuwa wameajiriwa na 'Ajira za Samia'

Yaani miezi sita Tanzania imeajiri zaidi ya 50% ya idadi yake yote, miezi 12 hadi watoto na wazee na walioajiriwa zamani wataajiriwa!

========

"Katika kipindi kifupi cha mheshimiwa Rais Samia uwekezaji mkubwa Tanzania umefanyika wa dola bilioni 3.5 ambapo kwa haraka haraka ajira zaidi ya milioni 35 zimekwenda kuzaliwa, sasa hiyo ni miezi sita. Mheshimiwa Rais endelea kuupiga mwingi, kiwanja umekidhibiti vizuri una baraka zote za chama"

Shaka Hamdu Shaka
 
Tanzania ina watu wanaokimbilia milioni sitini ikijumuisha watu wenye uwezo wa kufanya kazi na wasio kwenye kundi hilo kama watoto na wenye umri mkubwa.

Sasa ndugu Shaka anasema miezi michache ya Rais Samia Tanzania imepata uwekezaji wa dola bilioni 3.5 ambapo imezaa ajira zaidi ya milioni 35 kwenye miezi yake sita.

Sasa hii si karibu asilimia zote 100 ya workforce yote iliyopo nchini na tusingehangaika kwa kuwapeleka wamachinga maana automatically wangekuwa wameajiriwa na 'Ajira za Samia'

Yaani miezi sita Tanzania imeajiri zaidi ya 50% ya idadi yake yote, miezi 12 hadi watoto na wazee na walioajiriwa zamani wataajiriwa!
Amekuwa misquoted au misrepresented
 
Tanzania ina watu wanaokimbilia milioni sitini ikijumuisha watu wenye uwezo wa kufanya kazi na wasio kwenye kundi hilo kama watoto na wenye umri mkubwa.

Sasa ndugu Shaka anasema miezi michache ya Rais Samia Tanzania imepata uwekezaji wa dola bilioni 3.5 ambapo imezaa ajira zaidi ya milioni 35 kwenye miezi yake sita.

Sasa hii si karibu asilimia zote 100 ya workforce yote iliyopo nchini na tusingehangaika kwa kuwapeleka wamachinga maana automatically wangekuwa wameajiriwa na 'Ajira za Samia'

Yaani miezi sita Tanzania imeajiri zaidi ya 50% ya idadi yake yote, miezi 12 hadi watoto na wazee na walioajiriwa zamani wataajiriwa!
Watanzania wote wenye uwezo wa kuajiriwa wangekuwa wameajiriwa, ikiwa tayari kuna walioko kwenye ajira kabla ya hizi za shaka, kuna wazee na watoto. Tanzania inakadiriwa kuwa na watu milioni 60.
 
Watanzania wote wanye uwezo wa kuajiriwa wangekuwa wameajiriwa, ikiwa tayari kuna walioko kwenye ajira kabla ya hizi za shaka, kuna wazee na watoto. Tanzania inakadiriwa kuwa na watu milioni 60.
Yani 50% ya watanzania wawe ofisini maana kwa population ya workforce ni almost 130% wamepata kazi!

Huko kuitisha watu tu TRA na TANESCO bado hizo ajira zimepatikana vipi?
 
Pengine najalibu kuwaza hapa huyu jamaa amepewa data za nchini Congo au Nigeria kwa ile population yao hesabu zake zinaweza kukaa Sawa ila kwa Tanzania pia mwalimu wake wa hisabati atakuwa anajisikia vibaya huko aliko, basi amsamehe tu hapa alizalisha kiazi
 
Hii ni sawa na 130%, maana yake wameajiriwa mpaka watoto wa miaka 8
Kila Awamu huwa ina mauongo yake

Tukaambiwa na kufanyiwa maaigizo ya kutoa gawio kutoka taasisi za serikali kumbe hakuna kitu ni maigizo tu.
 
Tanzania ina watu wanaokimbilia milioni sitini ikijumuisha watu wenye uwezo wa kufanya kazi na wasio kwenye kundi hilo kama watoto na wenye umri mkubwa.

Sasa ndugu Shaka anasema miezi michache ya Rais Samia Tanzania imepata uwekezaji wa dola bilioni 3.5 ambapo imezaa ajira zaidi ya milioni 35 kwenye miezi yake sita.

Sasa hii si karibu asilimia zote 100 ya workforce yote iliyopo nchini na tusingehangaika kwa kuwapeleka wamachinga maana automatically wangekuwa wameajiriwa na 'Ajira za Samia'

Yaani miezi sita Tanzania imeajiri zaidi ya 50% ya idadi yake yote, miezi 12 hadi watoto na wazee na walioajiriwa zamani wataajiriwa!
Ajira ni nini kwani?Mimi mwaka huu nimefungua kimashine changu kukoboa na kusaga mahindi na nimeajiri watumishi wa wili.
Ajira inatafsiri pana sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom