Uchaguzi 2020 Maajabu hayataisha Tanzania, pamoja na yote haya wananchi wataichagua CCM

Uchaguzi 2020 Maajabu hayataisha Tanzania, pamoja na yote haya wananchi wataichagua CCM

Habari wakuu!
Kwa umri wangu mdogo wa miaka takribani 30 nimejifunza mengi, sijabahatika kuvuka mipaka ya Tanzania lakini nimefika karibu mikoa 20 ya Tanzania bara.
Hulka na silka za Watanzania zinafanana.
Kwa uelewa wangu wa mambo ya kisiasa niliojifunza mitaani na mitandaoni nimehitimisha kuwa CCM inauwezo wa kushinda kwenye sanduku la kupigia kura kwa miaka 15 mbele. Yaani 2020, 2025 na 2030 watashinda kwa damu baada ya mtifuano utakaopelekea ccm kushinda kwa asilimia za single digit na hapo ndio utakuwa mwisho wa CCM kupata ushindi kwa miaka ya hivi karibuni. Kwa nini ninasema CCM watashinda ndani ya miaka 15 ijayo?
Wananchi wa Tanzania ndani ya hii miaka 15 bado wengi watakuwa hawajapata elimu ya msingi( namaanisha form 4), pili kizazi cha Nyerere (watu watii na wavumilivu) kitaendelea kuwepo kwa idadi kubwa ndani ya hii miaka 15.
Naamini ujinga na upumbavu unaowapelekea watanzania kusahau mambo haraka bado vinahitaji miaka si chini ya 15 kufutika.
Rushwa na takrima Tanzania bado changamoto, mtu anaweza kuuza kura yake kwa elfu 20 tu na kubadili uamuzi. Chama tawala ndicho chenye nguvu ya kifedha.
Ninaamini CCM October 2020 watapata kura nyingi za halali licha ya ;
- Watumishi wa umma kutopanda mshahara tangu 2015.
- Sarafu ya Tanzania kushuka kwa miaka hii 5.
-Bei za bidhaa mbalimbali kupanda.
-Uvunjaji holela wa katiba
-Ukosefu wa ajira kwa vijana, ikumbukwe ajira ni haki ya kijana pamoja na kwamba haijaandikwa kwenye katiba.
-Kupanda kwa gharama za matibabu(huduma za afya).
Asanteni.


Kama ni hivyo , waambie CCM waweke Tume huru ya Uchaguzi , ili maneno yako yawe ni kweli
 
Tume ya uchaguzi mpaka itangaze matokeo lazima mawakala wa vyama vilivyoweka wagombea laziman wasaini form za matokeo. Jimboni lazima mgombea nae asaini. Mpaka ngazi ya taifa. Sasa hilo la kusema tume inatangaza inavyotaka. Hao mawakala wanakuwa wapi? Kwa nini wanasaini?


Ungalimwambia Jecha hayo maneno yako
 
CCM haitaondoka madarakani kwa kura bali kwa vita na mapambano ya kumwaga damu kati ya majeshi ya serikali dhidi ya vikundi vya kijasusi cha msituni kikichagizwa na waasi wa kijeshi!!!miaka ya 2040/2050!!! hakuna cha tume huru wala demokrasia nchini!!!!
 
Habari wakuu!
Kwa umri wangu mdogo wa miaka takribani 30 nimejifunza mengi, sijabahatika kuvuka mipaka ya Tanzania lakini nimefika karibu mikoa 20 ya Tanzania bara.
Hulka na silka za Watanzania zinafanana.
Kwa uelewa wangu wa mambo ya kisiasa niliojifunza mitaani na mitandaoni nimehitimisha kuwa CCM inauwezo wa kushinda kwenye sanduku la kupigia kura kwa miaka 15 mbele. Yaani 2020, 2025 na 2030 watashinda kwa damu baada ya mtifuano utakaopelekea ccm kushinda kwa asilimia za single digit na hapo ndio utakuwa mwisho wa CCM kupata ushindi kwa miaka ya hivi karibuni. Kwa nini ninasema CCM watashinda ndani ya miaka 15 ijayo?
Wananchi wa Tanzania ndani ya hii miaka 15 bado wengi watakuwa hawajapata elimu ya msingi( namaanisha form 4), pili kizazi cha Nyerere (watu watii na wavumilivu) kitaendelea kuwepo kwa idadi kubwa ndani ya hii miaka 15.
Naamini ujinga na upumbavu unaowapelekea watanzania kusahau mambo haraka bado vinahitaji miaka si chini ya 15 kufutika.
Rushwa na takrima Tanzania bado changamoto, mtu anaweza kuuza kura yake kwa elfu 20 tu na kubadili uamuzi. Chama tawala ndicho chenye nguvu ya kifedha.
Ninaamini CCM October 2020 watapata kura nyingi za halali licha ya ;
- Watumishi wa umma kutopanda mshahara tangu 2015.
- Sarafu ya Tanzania kushuka kwa miaka hii 5.
-Bei za bidhaa mbalimbali kupanda.
-Uvunjaji holela wa katiba
-Ukosefu wa ajira kwa vijana, ikumbukwe ajira ni haki ya kijana pamoja na kwamba haijaandikwa kwenye katiba.
-Kupanda kwa gharama za matibabu(huduma za afya).
Asanteni.
Pamoja na ujinga wooote uliyobwabwaja lakini fanya uchunguzi na ubaini kama kweli wagombea wanaopitishwa na vyama vya upinzani wanakidhi kuwa rais wa JMT?

Chukulia uchaguzi mkuu wa 2015 wagombea urais waliyosimamishwa na vyama vya upinzani ni nani unaeona alistahili kuchaguluwa kuwa amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ilinzi na usalama wa nchi yetu?

1. Edward Lowasa
2. Anna mgwila
3. Dovutwa
4. Ibrahim Lipumba
NK

Wewe ungemchagua nani kati ya hao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM haitaondoka madarakani kwa kura bali kwa vita na mapambano ya kumwaga damu kati ya majeshi ya serikali dhidi ya vikundi vya kijasusi cha msituni kikichagizwa na waasi wa kijeshi!!!miaka ya 2040/2050!!! hakuna cha tume huru wala demokrasia nchini!!!!
Mbowe atakuwa amestaafu
 
Habari wakuu!
Kwa umri wangu mdogo wa miaka takribani 30 nimejifunza mengi, sijabahatika kuvuka mipaka ya Tanzania lakini nimefika karibu mikoa 20 ya Tanzania bara.
Hulka na silka za Watanzania zinafanana.
Kwa uelewa wangu wa mambo ya kisiasa niliojifunza mitaani na mitandaoni nimehitimisha kuwa CCM inauwezo wa kushinda kwenye sanduku la kupigia kura kwa miaka 15 mbele. Yaani 2020, 2025 na 2030 watashinda kwa damu baada ya mtifuano utakaopelekea ccm kushinda kwa asilimia za single digit na hapo ndio utakuwa mwisho wa CCM kupata ushindi kwa miaka ya hivi karibuni. Kwa nini ninasema CCM watashinda ndani ya miaka 15 ijayo?
Wananchi wa Tanzania ndani ya hii miaka 15 bado wengi watakuwa hawajapata elimu ya msingi( namaanisha form 4), pili kizazi cha Nyerere (watu watii na wavumilivu) kitaendelea kuwepo kwa idadi kubwa ndani ya hii miaka 15.
Naamini ujinga na upumbavu unaowapelekea watanzania kusahau mambo haraka bado vinahitaji miaka si chini ya 15 kufutika.
Rushwa na takrima Tanzania bado changamoto, mtu anaweza kuuza kura yake kwa elfu 20 tu na kubadili uamuzi. Chama tawala ndicho chenye nguvu ya kifedha.
Ninaamini CCM October 2020 watapata kura nyingi za halali licha ya ;
- Watumishi wa umma kutopanda mshahara tangu 2015.
- Sarafu ya Tanzania kushuka kwa miaka hii 5.
-Bei za bidhaa mbalimbali kupanda.
-Uvunjaji holela wa katiba
-Ukosefu wa ajira kwa vijana, ikumbukwe ajira ni haki ya kijana pamoja na kwamba haijaandikwa kwenye katiba.
-Kupanda kwa gharama za matibabu(huduma za afya).
Asanteni.
Dada mwaka 2015 ulikuwa unajitambua? Ulisikia mgombea wa Urais wa Chadema na Mwenyekiti wa Maisha Mbowe Mugabe waliposema kuwa CCM isiposhindwa 2015 then itachukua zaidi ya miaka 50 kuitoa madarakani. Sasa usipoteze muda wako kujiulizauliza eti CCM itaondoka baada ya miaka 15. CCM bado ipo sana labda baada ya miaka 100 kama tutapata chama mbadala siyo hizi saccos za kina Mbowe!
 
Pamoja na ujinga wooote uliyobwabwaja lakini fanya uchunguzi na ubaini kama kweli wagombea wanaopitishwa na vyama vya upinzani wanakidhi kuwa rais wa JMT?

Chukulia uchaguzi mkuu wa 2015 wagombea urais waliyosimamishwa na vyama vya upinzani ni nani unaeona alistahili kuchaguluwa kuwa amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ilinzi na usalama wa nchi yetu?

1. Edward Lowasa
2. Anna mgwila
3. Dovutwa
4. Ibrahim Lipumba
NK

Wewe ungemchagua nani kati ya hao?

Sent using Jamii Forums mobile app
Akikujibu nitag
 
Tatizo katiba tu kaka
Habari wakuu!
Kwa umri wangu mdogo wa miaka takribani 30 nimejifunza mengi, sijabahatika kuvuka mipaka ya Tanzania lakini nimefika karibu mikoa 20 ya Tanzania bara.

Hulka na silka za Watanzania zinafanana.

Kwa uelewa wangu wa mambo ya kisiasa niliojifunza mitaani na mitandaoni nimehitimisha kuwa CCM inauwezo wa kushinda kwenye sanduku la kupigia kura kwa miaka 15 mbele. Yaani 2020, 2025 na 2030 watashinda kwa damu baada ya mtifuano utakaopelekea ccm kushinda kwa asilimia za single digit na hapo ndio utakuwa mwisho wa CCM kupata ushindi kwa miaka ya hivi karibuni. Kwa nini ninasema CCM watashinda ndani ya miaka 15 ijayo?

Wananchi wa Tanzania ndani ya hii miaka 15 bado wengi watakuwa hawajapata elimu ya msingi( namaanisha form 4), pili kizazi cha Nyerere (watu watii na wavumilivu) kitaendelea kuwepo kwa idadi kubwa ndani ya hii miaka 15.

Naamini ujinga na upumbavu unaowapelekea watanzania kusahau mambo haraka bado vinahitaji miaka si chini ya 15 kufutika.

Rushwa na takrima Tanzania bado changamoto, mtu anaweza kuuza kura yake kwa elfu 20 tu na kubadili uamuzi. Chama tawala ndicho chenye nguvu ya kifedha.

Ninaamini CCM October 2020 watapata kura nyingi za halali licha ya ;

- Watumishi wa umma kutopanda mshahara tangu 2015.
- Sarafu ya Tanzania kushuka kwa miaka hii 5.
-Bei za bidhaa mbalimbali kupanda.
-Uvunjaji holela wa katiba
-Ukosefu wa ajira kwa vijana, ikumbukwe ajira ni haki ya kijana pamoja na kwamba haijaandikwa kwenye katiba.
-Kupanda kwa gharama za matibabu(huduma za afya).

Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu!
Kwa umri wangu mdogo wa miaka takribani 30 nimejifunza mengi, sijabahatika kuvuka mipaka ya Tanzania lakini nimefika karibu mikoa 20 ya Tanzania bara.

Hulka na silka za Watanzania zinafanana.

Kwa uelewa wangu wa mambo ya kisiasa niliojifunza mitaani na mitandaoni nimehitimisha kuwa CCM inauwezo wa kushinda kwenye sanduku la kupigia kura kwa miaka 15 mbele. Yaani 2020, 2025 na 2030 watashinda kwa damu baada ya mtifuano utakaopelekea ccm kushinda kwa asilimia za single digit na hapo ndio utakuwa mwisho wa CCM kupata ushindi kwa miaka ya hivi karibuni. Kwa nini ninasema CCM watashinda ndani ya miaka 15 ijayo?

Wananchi wa Tanzania ndani ya hii miaka 15 bado wengi watakuwa hawajapata elimu ya msingi( namaanisha form 4), pili kizazi cha Nyerere (watu watii na wavumilivu) kitaendelea kuwepo kwa idadi kubwa ndani ya hii miaka 15.

Naamini ujinga na upumbavu unaowapelekea watanzania kusahau mambo haraka bado vinahitaji miaka si chini ya 15 kufutika.

Rushwa na takrima Tanzania bado changamoto, mtu anaweza kuuza kura yake kwa elfu 20 tu na kubadili uamuzi. Chama tawala ndicho chenye nguvu ya kifedha.

Ninaamini CCM October 2020 watapata kura nyingi za halali licha ya ;

- Watumishi wa umma kutopanda mshahara tangu 2015.
- Sarafu ya Tanzania kushuka kwa miaka hii 5.
-Bei za bidhaa mbalimbali kupanda.
-Uvunjaji holela wa katiba
-Ukosefu wa ajira kwa vijana, ikumbukwe ajira ni haki ya kijana pamoja na kwamba haijaandikwa kwenye katiba.
-Kupanda kwa gharama za matibabu(huduma za afya).

Asanteni.
Kwa kuendelea na tume hii ya uchaguzi CCM "itashinda" milele na siyo miaka 15 ijayo!
 
Kweli mkuu, wengi wa watanzania ni waoga, lakini ni kwa sababu bado hali ngumu hatujaipata ya kutufanya tuwe na maamuzi magumu.

Ila ukitokea watu wakashindwa kupata mahitaji ya msingi itakuwa rahisi kuweza kuondoa uoga. maana unakuwa huna chuguo la sivyo ufe.
Sasa ni bora kufa unajipigania kuliko kufa kikondoo.
Kwa TUme hii ya uchaguzi hata watu wote musipoipigia CCM, CCM itashinda tu. Mfano hai ni uchaguzi wa serikali za mitaa. Wangapi walipiga kura?
 
Habari wakuu!
Kwa umri wangu mdogo wa miaka takribani 30 nimejifunza mengi, sijabahatika kuvuka mipaka ya Tanzania lakini nimefika karibu mikoa 20 ya Tanzania bara.

Hulka na silka za Watanzania zinafanana.

Kwa uelewa wangu wa mambo ya kisiasa niliojifunza mitaani na mitandaoni nimehitimisha kuwa CCM inauwezo wa kushinda kwenye sanduku la kupigia kura kwa miaka 15 mbele. Yaani 2020, 2025 na 2030 watashinda kwa damu baada ya mtifuano utakaopelekea ccm kushinda kwa asilimia za single digit na hapo ndio utakuwa mwisho wa CCM kupata ushindi kwa miaka ya hivi karibuni. Kwa nini ninasema CCM watashinda ndani ya miaka 15 ijayo?

Wananchi wa Tanzania ndani ya hii miaka 15 bado wengi watakuwa hawajapata elimu ya msingi( namaanisha form 4), pili kizazi cha Nyerere (watu watii na wavumilivu) kitaendelea kuwepo kwa idadi kubwa ndani ya hii miaka 15.

Naamini ujinga na upumbavu unaowapelekea watanzania kusahau mambo haraka bado vinahitaji miaka si chini ya 15 kufutika.

Rushwa na takrima Tanzania bado changamoto, mtu anaweza kuuza kura yake kwa elfu 20 tu na kubadili uamuzi. Chama tawala ndicho chenye nguvu ya kifedha.

Ninaamini CCM October 2020 watapata kura nyingi za halali licha ya ;

- Watumishi wa umma kutopanda mshahara tangu 2015.
- Sarafu ya Tanzania kushuka kwa miaka hii 5.
-Bei za bidhaa mbalimbali kupanda.
-Uvunjaji holela wa katiba
-Ukosefu wa ajira kwa vijana, ikumbukwe ajira ni haki ya kijana pamoja na kwamba haijaandikwa kwenye katiba.
-Kupanda kwa gharama za matibabu(huduma za afya).

Asanteni.
Tuliwahamini chadema kidogo tu, wakamuzia chama Lowassa na genge lake. Hatuna hakika kama tutawapa nchi hawatauza Kwa wazungu, kama waliweza kuhuza mswahili akija mzungu au muhindi wanatuuza tu maana wana tamaa ya mshiko, kila wanalialia eti wabunge wao wananunuliwa kama bidhaa za sokoni harafu tuwape nchi. Uwezi kuonja sumu Kwa kuilamba. Bora tukae na ccm yetu, ni zimwi likujualo alikuli likakumaliza. Mungu ibariki Tanzania
 
Back
Top Bottom