Uchaguzi 2020 Maajabu hayataisha Tanzania, pamoja na yote haya wananchi wataichagua CCM

Uchaguzi 2020 Maajabu hayataisha Tanzania, pamoja na yote haya wananchi wataichagua CCM

Kwani hao wabunge wa upinzani huwa wanatangazwa na tume ipi? Au wao wametangazwa na hiyo tume huru unayoitaka iwekwe?

Nyumbu ni nyumbu tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani mnaogopa kitu gani kuweka Tume huru ikiwa hao wabunge wa Upinzani wanatangazwa na hiyo tume ??

Kima ni nyani tu
 
Tuliwahamini chadema kidogo tu, wakamuzia chama Lowassa na genge lake. Hatuna hakika kama tutawapa nchi hawatauza Kwa wazungu, kama waliweza kuhuza mswahili akija mzungu au muhindi wanatuuza tu maana wana tamaa ya mshiko, kila wanalialia eti wabunge wao wananunuliwa kama bidhaa za sokoni harafu tuwape nchi. Uwezi kuonja sumu Kwa kuilamba. Bora tukae na ccm yetu, ni zimwi likujualo alikuli likakumaliza. Mungu ibariki Tanzania

kuhuza ni kitu gani hicho ??
 
Tume ya uchaguzi mpaka itangaze matokeo lazima mawakala wa vyama vilivyoweka wagombea laziman wasaini form za matokeo. Jimboni lazima mgombea nae asaini. Mpaka ngazi ya taifa. Sasa hilo la kusema tume inatangaza inavyotaka. Hao mawakala wanakuwa wapi? Kwa nini wanasaini?
Wa Baba kinehe ?!. Unaamini ktk democracy ?! Unataka ushindani na mtu uliyemfunga mikono na miguu. What kind of democracy ?! Pathetic . Tangu baada ya uchaguzi 2015 mmezuia wapinzani wenu kufanya chochote . Halafu leo unamletea mfumo kandamizi ili mchaguane humo ?! AIBU.

Ccm na viongozi wake kwa miaka hii 59 wamefanya vizuri . Fine . Tuwe na democracy halisi ili mnyonge ashindwe kwa unyonge wake si kwa maelekezo . Mnachokiogopa wapinzani wakichaguliwa ni hicho kinachowazuia kuruhusu mfumo mzuri wa kuchaguana ili kuunda serikali .

Odhis *
 
Unataka wachague wazee wa kususa chini ya dj zero?
 
Habari wakuu!
Kwa umri wangu mdogo wa miaka takribani 30 nimejifunza mengi, sijabahatika kuvuka mipaka ya Tanzania lakini nimefika karibu mikoa 20 ya Tanzania bara.

Hulka na silka za Watanzania zinafanana.

Kwa uelewa wangu wa mambo ya kisiasa niliojifunza mitaani na mitandaoni nimehitimisha kuwa CCM inauwezo wa kushinda kwenye sanduku la kupigia kura kwa miaka 15 mbele. Yaani 2020, 2025 na 2030 watashinda kwa damu baada ya mtifuano utakaopelekea ccm kushinda kwa asilimia za single digit na hapo ndio utakuwa mwisho wa CCM kupata ushindi kwa miaka ya hivi karibuni. Kwa nini ninasema CCM watashinda ndani ya miaka 15 ijayo?

Wananchi wa Tanzania ndani ya hii miaka 15 bado wengi watakuwa hawajapata elimu ya msingi( namaanisha form 4), pili kizazi cha Nyerere (watu watii na wavumilivu) kitaendelea kuwepo kwa idadi kubwa ndani ya hii miaka 15.

Naamini ujinga na upumbavu unaowapelekea watanzania kusahau mambo haraka bado vinahitaji miaka si chini ya 15 kufutika.

Rushwa na takrima Tanzania bado changamoto, mtu anaweza kuuza kura yake kwa elfu 20 tu na kubadili uamuzi. Chama tawala ndicho chenye nguvu ya kifedha.

Ninaamini CCM October 2020 watapata kura nyingi za halali licha ya ;

- Watumishi wa umma kutopanda mshahara tangu 2015.
- Sarafu ya Tanzania kushuka kwa miaka hii 5.
-Bei za bidhaa mbalimbali kupanda.
-Uvunjaji holela wa katiba
-Ukosefu wa ajira kwa vijana, ikumbukwe ajira ni haki ya kijana pamoja na kwamba haijaandikwa kwenye katiba.
-Kupanda kwa gharama za matibabu(huduma za afya).

Asanteni.
Bashiru keshasema hakuna rushwa, t-shirt, khanga Wala kofia awwmu hii sababu ya Hali ngumu
 
Habari wakuu!
Kwa umri wangu mdogo wa miaka takribani 30 nimejifunza mengi, sijabahatika kuvuka mipaka ya Tanzania lakini nimefika karibu mikoa 20 ya Tanzania bara.

Hulka na silka za Watanzania zinafanana.

Kwa uelewa wangu wa mambo ya kisiasa niliojifunza mitaani na mitandaoni nimehitimisha kuwa CCM inauwezo wa kushinda kwenye sanduku la kupigia kura kwa miaka 15 mbele. Yaani 2020, 2025 na 2030 watashinda kwa damu baada ya mtifuano utakaopelekea ccm kushinda kwa asilimia za single digit na hapo ndio utakuwa mwisho wa CCM kupata ushindi kwa miaka ya hivi karibuni. Kwa nini ninasema CCM watashinda ndani ya miaka 15 ijayo?

Wananchi wa Tanzania ndani ya hii miaka 15 bado wengi watakuwa hawajapata elimu ya msingi( namaanisha form 4), pili kizazi cha Nyerere (watu watii na wavumilivu) kitaendelea kuwepo kwa idadi kubwa ndani ya hii miaka 15.

Naamini ujinga na upumbavu unaowapelekea watanzania kusahau mambo haraka bado vinahitaji miaka si chini ya 15 kufutika.

Rushwa na takrima Tanzania bado changamoto, mtu anaweza kuuza kura yake kwa elfu 20 tu na kubadili uamuzi. Chama tawala ndicho chenye nguvu ya kifedha.

Ninaamini CCM October 2020 watapata kura nyingi za halali licha ya ;

- Watumishi wa umma kutopanda mshahara tangu 2015.
- Sarafu ya Tanzania kushuka kwa miaka hii 5.
-Bei za bidhaa mbalimbali kupanda.
-Uvunjaji holela wa katiba
-Ukosefu wa ajira kwa vijana, ikumbukwe ajira ni haki ya kijana pamoja na kwamba haijaandikwa kwenye katiba.
-Kupanda kwa gharama za matibabu(huduma za afya).

Asanteni.
Habari wakuu!
Kwa umri wangu mdogo wa miaka takribani 30 nimejifunza mengi, sijabahatika kuvuka mipaka ya Tanzania lakini nimefika karibu mikoa 20 ya Tanzania bara.

Hulka na silka za Watanzania zinafanana.

Kwa uelewa wangu wa mambo ya kisiasa niliojifunza mitaani na mitandaoni nimehitimisha kuwa CCM inauwezo wa kushinda kwenye sanduku la kupigia kura kwa miaka 15 mbele. Yaani 2020, 2025 na 2030 watashinda kwa damu baada ya mtifuano utakaopelekea ccm kushinda kwa asilimia za single digit na hapo ndio utakuwa mwisho wa CCM kupata ushindi kwa miaka ya hivi karibuni. Kwa nini ninasema CCM watashinda ndani ya miaka 15 ijayo?

Wananchi wa Tanzania ndani ya hii miaka 15 bado wengi watakuwa hawajapata elimu ya msingi( namaanisha form 4), pili kizazi cha Nyerere (watu watii na wavumilivu) kitaendelea kuwepo kwa idadi kubwa ndani ya hii miaka 15.

Naamini ujinga na upumbavu unaowapelekea watanzania kusahau mambo haraka bado vinahitaji miaka si chini ya 15 kufutika.

Rushwa na takrima Tanzania bado changamoto, mtu anaweza kuuza kura yake kwa elfu 20 tu na kubadili uamuzi. Chama tawala ndicho chenye nguvu ya kifedha.

Ninaamini CCM October 2020 watapata kura nyingi za halali licha ya ;

- Watumishi wa umma kutopanda mshahara tangu 2015.
- Sarafu ya Tanzania kushuka kwa miaka hii 5.
-Bei za bidhaa mbalimbali kupanda.
-Uvunjaji holela wa katiba
-Ukosefu wa ajira kwa vijana, ikumbukwe ajira ni haki ya kijana pamoja na kwamba haijaandikwa kwenye katiba.
-Kupanda kwa gharama za matibabu(huduma za afya).

Asanteni.

Tathmini yangu tanzania kila uchao inabadilika watu kuwa na uelewa juu ya mfumo ulipo wa kuendesha nchi watu ambao ni asilimia kubwa wamejifunza watawala hasa wa Watanzania wanauza maneno tu kwa wananchi wao. Kule zanzibar hila zote zimeshaisha siku ya kura watu huwa na lao la moyoni.

Hilo la kushinda kwa damu nadhani ndio changamoto inayohitaji kufanyiwa kazi ni upinzani na wananchi kwa muda huu kabla ya uchaguzi lakini nina matumaini sana mabadiliko yanakuja Tz tena kwa nguvu zote.
 
1995 na 2015 Wananchi hawakuchagua CCM...mabavu na wizi tu
 
Mkuu tangu 2010 ccm haijawahi kuchaguliwa na wananchi. Hilo sanduku la kura huwekwa tu kama formality, ionekane kama kuna demokrasia. Lakini kiukweli wanaochagua ni tume wakishirikiana na vyombo vya dora. Ndiyo maana wanasema watadumu miaka 200. Wako sawa kabisa maana wanatumia vyombo wanavyovisimamia
Habari wakuu!
Kwa umri wangu mdogo wa miaka takribani 30 nimejifunza mengi, sijabahatika kuvuka mipaka ya Tanzania lakini nimefika karibu mikoa 20 ya Tanzania bara.

Hulka na silka za Watanzania zinafanana.

Kwa uelewa wangu wa mambo ya kisiasa niliojifunza mitaani na mitandaoni nimehitimisha kuwa CCM inauwezo wa kushinda kwenye sanduku la kupigia kura kwa miaka 15 mbele. Yaani 2020, 2025 na 2030 watashinda kwa damu baada ya mtifuano utakaopelekea ccm kushinda kwa asilimia za single digit na hapo ndio utakuwa mwisho wa CCM kupata ushindi kwa miaka ya hivi karibuni. Kwa nini ninasema CCM watashinda ndani ya miaka 15 ijayo?

Wananchi wa Tanzania ndani ya hii miaka 15 bado wengi watakuwa hawajapata elimu ya msingi( namaanisha form 4), pili kizazi cha Nyerere (watu watii na wavumilivu) kitaendelea kuwepo kwa idadi kubwa ndani ya hii miaka 15.

Naamini ujinga na upumbavu unaowapelekea watanzania kusahau mambo haraka bado vinahitaji miaka si chini ya 15 kufutika.

Rushwa na takrima Tanzania bado changamoto, mtu anaweza kuuza kura yake kwa elfu 20 tu na kubadili uamuzi. Chama tawala ndicho chenye nguvu ya kifedha.

Ninaamini CCM October 2020 watapata kura nyingi za halali licha ya ;

- Watumishi wa umma kutopanda mshahara tangu 2015.
- Sarafu ya Tanzania kushuka kwa miaka hii 5.
-Bei za bidhaa mbalimbali kupanda.
-Uvunjaji holela wa katiba
-Ukosefu wa ajira kwa vijana, ikumbukwe ajira ni haki ya kijana pamoja na kwamba haijaandikwa kwenye katiba.
-Kupanda kwa gharama za matibabu(huduma za afya).

Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wa Baba kinehe ?!. Unaamini ktk democracy ?! Unataka ushindani na mtu uliyemfunga mikono na miguu. What kind of democracy ?! Pathetic . Tangu baada ya uchaguzi 2015 mmezuia wapinzani wenu kufanya chochote . Halafu leo unamletea mfumo kandamizi ili mchaguane humo ?! AIBU.

Ccm na viongozi wake kwa miaka hii 59 wamefanya vizuri . Fine . Tuwe na democracy halisi ili mnyonge ashindwe kwa unyonge wake si kwa maelekezo . Mnachokiogopa wapinzani wakichaguliwa ni hicho kinachowazuia kuruhusu mfumo mzuri wa kuchaguana ili kuunda serikali .

Odhis *
Visingizio vingi sana. Mara tume huru,mara tumezuiwa mikutano,mara Corona virus. Kwa ufupi Jaduong mmeshakwisha.
 
Habari wakuu!
Kwa umri wangu mdogo wa miaka takribani 30 nimejifunza mengi, sijabahatika kuvuka mipaka ya Tanzania lakini nimefika karibu mikoa 20 ya Tanzania bara.

Hulka na silka za Watanzania zinafanana.

Kwa uelewa wangu wa mambo ya kisiasa niliojifunza mitaani na mitandaoni nimehitimisha kuwa CCM inauwezo wa kushinda kwenye sanduku la kupigia kura kwa miaka 15 mbele. Yaani 2020, 2025 na 2030 watashinda kwa damu baada ya mtifuano utakaopelekea ccm kushinda kwa asilimia za single digit na hapo ndio utakuwa mwisho wa CCM kupata ushindi kwa miaka ya hivi karibuni. Kwa nini ninasema CCM watashinda ndani ya miaka 15 ijayo?

Wananchi wa Tanzania ndani ya hii miaka 15 bado wengi watakuwa hawajapata elimu ya msingi( namaanisha form 4), pili kizazi cha Nyerere (watu watii na wavumilivu) kitaendelea kuwepo kwa idadi kubwa ndani ya hii miaka 15.

Naamini ujinga na upumbavu unaowapelekea watanzania kusahau mambo haraka bado vinahitaji miaka si chini ya 15 kufutika.

Rushwa na takrima Tanzania bado changamoto, mtu anaweza kuuza kura yake kwa elfu 20 tu na kubadili uamuzi. Chama tawala ndicho chenye nguvu ya kifedha.

Ninaamini CCM October 2020 watapata kura nyingi za halali licha ya ;

- Watumishi wa umma kutopanda mshahara tangu 2015.
- Sarafu ya Tanzania kushuka kwa miaka hii 5.
-Bei za bidhaa mbalimbali kupanda.
-Uvunjaji holela wa katiba
-Ukosefu wa ajira kwa vijana, ikumbukwe ajira ni haki ya kijana pamoja na kwamba haijaandikwa kwenye katiba.
-Kupanda kwa gharama za matibabu(huduma za afya).

Asanteni.
Well said bro!
 
Wananchi hawajawahi kuichagua ccm,ila ccm ndio inayojichagua yenyewe
 
CCM haitaondoka madarakani kwa kura bali kwa vita na mapambano ya kumwaga damu kati ya majeshi ya serikali dhidi ya vikundi vya kijasusi cha msituni kikichagizwa na waasi wa kijeshi!!!miaka ya 2040/2050!!! hakuna cha tume huru wala demokrasia nchini!!!!

Ww umezungumza kitu ninachosisitiza mara kwa mara. Ukiona chama kimekaa madarakani zaidi ya miaka 30, na kinaendelea kukaa madarakani kwa nguvu ya dola na sio ushawishi, basi machafuko ndio njia pekee ya kukitoa madarakani.
 
Nimeandika tu kuhare maono yangu.
October nikisikia CCM imeshindwa nitashangaa, na nikisikia chama pinzani kimeshinda uchaguzi mkuu nitashangaa pia.
Nawe ni miongoni mwa hao unaowaita kizazi cha Nyerere?Hivi unauhakika CCM huwa inashinda uchaguzi?Tume ya uchaguzi Tanzania ni huru kiasi cha kuwezesha matokeo halali?Kwa nini serikali haipendi kusikia kuhusu Katiba ya Wananchi na Tume Huru ya Uchaguzi kama wana uhakika wa ushindi na wanapendwa?Unamnyima mwanao kitu anachokihitaji tena kwa gharama zake?Tumewakosea nini CCM?
 
Huyo Nyerere hakuwahi kuunda na kuongoza CCM hii tunayoishuhudia sasa.Hii siyo tena kile Chama cha Wakulima na Wafanyakazi kilichozaliwa baada ya kuungana kwa TANU&ASP mwaka 1977 tarehe 05 ya Februari,tulikuwepo na tunaikumbuka vizuri.This one is a Monster who is willing to kill anyaone on her way.
 
Back
Top Bottom