The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
Ameturahisishia kazi.wewe jisifie tu, subiri wapite humu wakudake
Tena huyu ana mshahara mkubwa sanaNchi hii ina unyonyaji sana. Yaani mtu analipwa gross ya 1.2 halafu wanakata mpaka anabaki na laki 5!! Laki 5 hapo sasa ule, watoto waende shule, upate nauli, ulipe kodi ya nyumba huku ukinunua mifuko ya sementi ili uanze kujenga yako, ulipe michango ya harusi na vifo... halafu hautakiwi kula rushwa. Hii mishahara inatakiwa kurekebishwa haraka sana.
wewe jisifie tu, subiri wapite humu wakudake
[/QUOTEπ π π
Kumbe unakula 1.2M unapata wapi ujasiri wa kukopa NMBHallo hata sijui wamekosea au vipi. Nimecheck salary slip ya january nimekuta loan boad hawajanikata na hawapo kabisa kwenye salary slip yangu.
Nikapagawa kwa muda ikabidi nicheck status ya loan yangu kwenye website yao, nikakuta napongezwa kwa kumaliza kulipa deni.
Awali mwezi uliopita deni lililobakia lilikua linasoma 1,844,0000 ila ghafla nimekuta limefutwa. Wakuu kuna nini kinaendelea loan board je kuna wengine wamepata mabadiliko na kufutiwa deni lililobaki kama mimi ?
View attachment 2099893
View attachment 2099882
πππAmeturahisishia kazi.
Ametuweka mpaka pay slip yake, kitita cha 1.2M alafu take home inakuja 512,160Si ndo hapo,kulikuwa na ulazina gani wa kuleta humu mpk doc?
Usirudi Julia hapa mkuu