Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
kama boomametuweka mpaka pay slip yake, kitita cha 1.2M alafu take home inakuja 512 160
Tanzania hatari sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama boomametuweka mpaka pay slip yake, kitita cha 1.2M alafu take home inakuja 512 160
Tanzania hatari sana.
Bro wewe na Mimi tuna moyo mmoja Mimi nasema mpk waweke sawa hicho chombo ndio nitajisalimisha kimewaibia maskini Sana..Mara makato yawe juu Mara faini.,,Mara rentetion ,,,Sijawahi kulipa Deni la Bodi tangu nimalize Chuo mwaka 2007,ni ujinga kulipa deni hilo wakati ni jukumu lao kutusomesha
......si useme tu huna ajira rasmi ? Unalipaje wakati huna mshahara?Sijawahi kulipa Deni la Bodi tangu nimalize Chuo mwaka 2007,ni ujinga kulipa deni hilo wakati ni jukumu lao kutusomesha
Subiri Kwa hamu Mei Mosi.Nchi hii ina unyonyaji sana. Yaani mtu analipwa gross ya 1.2 halafu wanakata mpaka anabaki na laki 5!! Laki 5 hapo sasa ule, watoto waende shule, upate nauli, ulipe kodi ya nyumba huku ukinunua mifuko ya sementi ili uanze kujenga yako, ulipe michango ya harusi na vifo... halafu hautakiwi kula rushwa. Hii mishahara inatakiwa kurekebishwa haraka sana.
Ni kweli mkuuNchi hii ina unyonyaji sana. Yaani mtu analipwa gross ya 1.2 halafu wanakata mpaka anabaki na laki 5!! Laki 5 hapo sasa ule, watoto waende shule, upate nauli, ulipe kodi ya nyumba huku ukinunua mifuko ya sementi ili uanze kujenga yako, ulipe michango ya harusi na vifo... halafu hautakiwi kula rushwa. Hii mishahara inatakiwa kurekebishwa haraka sana.
😂😂😂 wewe jamaa punguza ukali wa manenokama boom
Ndugu bila kukopa utaanzishaje miradi, biasha na project za ujenzi ?wewe jisifie tu, subiri wapite humu wakudake
alafu kwanini unakopa hivyo! si utazeeka na mikopo ndugu ?
Haa ha ha kwamba unataka kunitwisha tena deniAsante kwa kutufahamisha. Tunafuatilia taarifa hii ili tuone wapi tulikosea.
Hongera mkuu.
Wewe unataka na wengine tuliofutiwa kimeujiza, waanze ufuatiliaji watukamate tena si ungekausha tuHallo hata sijui wamekosea au vipi. Nimecheck salary slip ya January nimekuta loan boad hawajanikata na hawapo kabisa kwenye salary slip yangu.
Nikapagawa kwa muda ikabidi nicheck status ya loan yangu kwenye website yao, nikakuta napongezwa kwa kumaliza kulipa deni.
Awali mwezi uliopita deni lililobakia lilikua linasoma 1,844,0000 ila ghafla nimekuta limefutwa. Wakuu kuna nini kinaendelea loan board je kuna wengine wamepata mabadiliko na kufutiwa deni lililobaki kama mimi ?
View attachment 2099893
View attachment 2099882View attachment 2100005
Documents zimezibwa id mkuu alafu mbona sio uhalifu kwani ni doc za mipango ya kulipua ikulu ?Si ndo hapo,kulikuwa na ulazina gani wa kuleta humu mpk doc?
Usirudi Julia hapa mkuu
Aise kwa kweliTulia wewe mama anaupiga mwingi..
Haa ha haAmeturahisishia kazi.
Ila ni mshahara halali na unanitosha mkuu wao na mabillion yao hayawatoshiMotivational speakers watakuja hapa wakuulize unawezaje kuishi kwa mshahara mdogo hivyo.Subiri hapohapo ujionee.