Maajabu: HESLB wamenifutia deni lote lililokuwa limesalia mwezi huu Januari

Maajabu: HESLB wamenifutia deni lote lililokuwa limesalia mwezi huu Januari

Sijawahi kulipa Deni la Bodi tangu nimalize Chuo mwaka 2007,ni ujinga kulipa deni hilo wakati ni jukumu lao kutusomesha
Wengi waliojajiriwa serikalini ni database yao ni rahisi kuwapata na kuwalipisha deni, tofauti na waliojariwa private
 
Hallo hata sijui wamekosea au vipi. Nimecheck salary slip ya January nimekuta loan boad hawajanikata na hawapo kabisa kwenye salary slip yangu.

Nikapagawa kwa muda ikabidi nicheck status ya loan yangu kwenye website yao, nikakuta napongezwa kwa kumaliza kulipa deni.

Awali mwezi uliopita deni lililobakia lilikua linasoma 1,844,0000 ila ghafla nimekuta limefutwa. Wakuu kuna nini kinaendelea loan board je kuna wengine wamepata mabadiliko na kufutiwa deni lililobaki kama mimi ?



View attachment 2099882View attachment 2100005

View attachment 2099893
Unafundisha shule gani? Nisije kukosea kumpeleka mwanangu kwenye shule unayofundisha....

Walimu na polisi sijui nani kawaloga wallah...
 
Hallo hata sijui wamekosea au vipi. Nimecheck salary slip ya January nimekuta loan boad hawajanikata na hawapo kabisa kwenye salary slip yangu.

Nikapagawa kwa muda ikabidi nicheck status ya loan yangu kwenye website yao, nikakuta napongezwa kwa kumaliza kulipa deni.

Awali mwezi uliopita deni lililobakia lilikua linasoma 1,844,0000 ila ghafla nimekuta limefutwa. Wakuu kuna nini kinaendelea loan board je kuna wengine wamepata mabadiliko na kufutiwa deni lililobaki kama mimi ?



View attachment 2099882View attachment 2100005

View attachment 2099893
Wewe ndio lile kundi ambalo ukijiroga kufanya naye deal, kila mtu atajua, kwa sababu midomo yenu huwashwawashwa, na hivyo huwezi kujizuia kuongea.
 
Ukionana naye barabarani utamjua kuwa ndiye mwenye mshahara huo? Ama unafikiri wote wana-share ID zao kama wewe?
We jamaa ni juha kabisa. Kwanza umeanika financial status yako yote mtandaoni kila mtu aone pili kupitia misifa yako ushawagutusha HESBL kiasi cha kuponza wenzio ambao walipona kimya kimya.
 
Nchi hii ina unyonyaji sana. Yaani mtu analipwa gross ya 1.2 halafu wanakata mpaka anabaki na laki 5!! Laki 5 hapo sasa ule, watoto waende shule, upate nauli, ulipe kodi ya nyumba huku ukinunua mifuko ya sementi ili uanze kujenga yako, ulipe michango ya harusi na vifo... halafu hautakiwi kula rushwa. Hii mishahara inatakiwa kurekebishwa haraka sana.
Kwani alizokopa alifanyia nini?
 
Hallo hata sijui wamekosea au vipi. Nimecheck salary slip ya January nimekuta loan boad hawajanikata na hawapo kabisa kwenye salary slip yangu.

Nikapagawa kwa muda ikabidi nicheck status ya loan yangu kwenye website yao, nikakuta napongezwa kwa kumaliza kulipa deni.

Awali mwezi uliopita deni lililobakia lilikua linasoma 1,844,0000 ila ghafla nimekuta limefutwa. Wakuu kuna nini kinaendelea loan board je kuna wengine wamepata mabadiliko na kufutiwa deni lililobaki kama mimi ?



View attachment 2099882View attachment 2100005

View attachment 2099893
We jamaa ni mjinga sana
 
Deni lililoko kwenye salary sleep nitofauti na deni halisi so nivizuri kutembea loan board kupata deni halisi
 
Hallo hata sijui wamekosea au vipi. Nimecheck salary slip ya January nimekuta loan boad hawajanikata na hawapo kabisa kwenye salary slip yangu.

Nikapagawa kwa muda ikabidi nicheck status ya loan yangu kwenye website yao, nikakuta napongezwa kwa kumaliza kulipa deni.

Awali mwezi uliopita deni lililobakia lilikua linasoma 1,844,0000 ila ghafla nimekuta limefutwa. Wakuu kuna nini kinaendelea loan board je kuna wengine wamepata mabadiliko na kufutiwa deni lililobaki kama mimi ?



View attachment 2099882

Huyu kenge kweli. Badala ule bati unakuja kujipiga kifua hapa! Ebo!
 
Salary slip yake inakuumizaje? Wapi imeandikwa kuwa hapa ni pa mishahara mikubwa tu. Na sisi walimu wote tunahusikaje hapa sasa?
Kwa hiyo mwalimu unaona fahari kuanika mshahara wako JF, ili uonekane na wewe unalipwa mshahara mkubwa.........aisee nimeelewa kwa nini mnatumika kirahisi hata kwenye chafuzi kuu, 1.2m ni salary ya kuanika JF kweli.........halafu na nyie mnataka nyongeza ya mshahara!​
 
Akili yako mbovu kuliko hata ya mwalimu unayemdharau!! Nani kakwambia mtoa mada kaweka hapa slary slip ili kuonyesha ukubwa wa mshahara wake? Kusoma hauelewi hapa picha pia hauelewi?!! Kwa hiyo wewe ungekuwa na mshahara mkubwa, ungeweka hapa JF ili watu waone mshahara wako ulivyo mkubwa?
Kwa hiyo mwalimu unaona fahari kuanika mshahara wako JF, ili uonekane na wewe unalipwa mshahara mkubwa.........aisee nimeelewa kwa nini mnatumika kirahisi hata kwenye chafuzi kuu, 1.2m ni salary ya kuanika JF kweli.........halafu na nyie mnataka nyongeza ya mshahara!​
 
Yaani unaleta humu daa wewe kweli duu ndiyo furaha ngoja waione
 
Back
Top Bottom