Aisee kumbe siko peke yangu hayo uliyofanyiwa nilifanyiwa hivyo hivyo. Sema mimi sikujisumbua hata kupiga kimoja nilijua huyu Mtu pengine jana yake tu kashakojolewa na Babu mwingine.Wa kwangu nililipia lodge ya bei mbaya pale Arusha then tumefika anaanza sarakasi na sitaki nataka. Ule usumbufu sikuupenda hata kidogo, baadae akakubali nikamuandaa lakini wapi haoneshi nia wala hajitumi. Nikapiga hivohivo hata kimoja sikumaliza akadai anachoka, mwenyewe mkavu tu nikaona isiwe kesi.
Toa mtu sindikiza kwao nikaenda zangu location kupoteza muda. Mojawapo ya vitu vilivyofanya nimuache ni kutokuwa romantic. Safari ijayo naenda Tanga.
Kama una ngiri... Sidhani kama ulilala usikuWandugu mnaweza kuniita jina lolote baya mnaloweza kujisikia kuniita. Iwe zezeta, zoba, Boya, punga, mwanaume suruali, hanithi vyovyote mimi nitakubali tu.
Ni baada ya jana ambapo nilipanga na mpenzi wangu tukutane ktk hotel moja ya kifahari hapa jijini Dar baada ya muda kama mwaka hivi hatujaonana na mwanamrembo huyo. Kwa kuwa nilikuwa nimejikoki niko sawa nikiwa na Rupia za kutosha, akili na mwili niko murua kabisa. Sina mawazo wala wasi wasi. Nilianza kupanga nae maandalizi toka wiki jana, na alionekana kuwa na shauku sana kuonana na mimi na alionekana ana Genye nyingi zimemjaa kweli kweli.
Mambo yalienda kombo kinyume na matazamio yangu. Kwanza tulianzia reception pale kuna resta ya maana tukachangamsha mwili na supu ya maana. Kumbuka hakuna msongamano wala fujo kutokana na kashikashi za Corona.
Baada kama saa moja hivi tukajichomeka ndani. Ilikuwa raha ukifika ndani lazima umwage razi yaani urudi utotoni kama ulivyozaliwa. Nasi tukafanya hivyo kukidhi mahitaji ya nature. Lakini cha ajabu bidada wangu kila ninachofanya ha respondi yaani mwitikio wake kama vile ananiogopa nina corona. Basi nikapunguza speed. Nikaona labda hayuko na mood vile.
Nikapiga reverse ya harakati zangu. Nikaanza na gia mpya shawishi mtuu weeee lakini wapi. Vuta huku vuta kule, shika hapa shika pale lakini mmh!! Kama niko na zombie vile au roboti. Badae sana nikaamua kusepa. Nilimtafutia Uber pale ikampeleka mpaka nyumbani kwake alipofika mida ya saa 1 jioni akanipigia simu akisema" I love u" nikajisemea moyoni "Go to the hell you big demon"
Usiku wa jana nikalala natafakari vituko alivyonifanyia. Bado sikupata majibu nikampandia hewani kuuliza nini hasa tatizo. Akanijibu eti ina maana wewe kila ukikutana na mimi unawaza mapenzi tu?? Nikamjibu sasa unataka niwaze nini kama hatujaonana mwaka mzima unataka nikikuona niwaze nini??
Wanadada mnisaidie kabla sijampiga chini huyu mwenzenu. Au kashanipiga chini yeye??
Asalaam Aleykum!
Hahahaaa
Hii inaweza kuwa kweli maana siri ya mtu moyoni huwezi kuijua.Wanawake wengne wanapendaga wabakaj,mi kama nmetumia gharama siwez kumuacha kirahis lazma kipgwe,inaonekana show zako za nyuma zilkuwa hazimfurahish kwahyo hata sku hyo alioona utamchafua tu
Asante kwa ushauriKuna hofu iliyojificha hapo,jaribu kumuweka karibu na mcheki afya zenu...baada ya hapo mambo yaende spidi.
Sina papara ni mpemzi wamhy wa muda mrefu na tunaongea siku zote kwenye simu na maandalizi tulifanya hatukushtukiza.Ninachoona,
Una papara, nyie ndo dakika tano nyingi ushamaliza kila kitu.
au
Bamia
au
Amekushtukia anaogopa kuuza maisha.
au ni nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wewe, akili zetu zote ziko kwenye janga la corona na wewe unatuletea upuuzi wa kichwa cha chini????Wandugu mnaweza kuniita jina lolote baya mnaloweza kujisikia kuniita. Iwe zezeta, zoba, Boya, punga, mwanaume suruali, hanithi vyovyote mimi nitakubali tu.
Ni baada ya jana ambapo nilipanga na mpenzi wangu tukutane ktk hotel moja ya kifahari hapa jijini Dar baada ya muda kama mwaka hivi hatujaonana na mwanamrembo huyo. Kwa kuwa nilikuwa nimejikoki niko sawa nikiwa na Rupia za kutosha, akili na mwili niko murua kabisa. Sina mawazo wala wasi wasi. Nilianza kupanga nae maandalizi toka wiki jana, na alionekana kuwa na shauku sana kuonana na mimi na alionekana ana Genye nyingi zimemjaa kweli kweli.
Mambo yalienda kombo kinyume na matazamio yangu. Kwanza tulianzia reception pale kuna resta ya maana tukachangamsha mwili na supu ya maana. Kumbuka hakuna msongamano wala fujo kutokana na kashikashi za Corona.
Baada kama saa moja hivi tukajichomeka ndani. Ilikuwa raha ukifika ndani lazima umwage razi yaani urudi utotoni kama ulivyozaliwa. Nasi tukafanya hivyo kukidhi mahitaji ya nature. Lakini cha ajabu bidada wangu kila ninachofanya ha respondi yaani mwitikio wake kama vile ananiogopa nina corona. Basi nikapunguza speed. Nikaona labda hayuko na mood vile.
Nikapiga reverse ya harakati zangu. Nikaanza na gia mpya shawishi mtuu weeee lakini wapi. Vuta huku vuta kule, shika hapa shika pale lakini mmh!! Kama niko na zombie vile au roboti. Badae sana nikaamua kusepa. Nilimtafutia Uber pale ikampeleka mpaka nyumbani kwake alipofika mida ya saa 1 jioni akanipigia simu akisema" I love u" nikajisemea moyoni "Go to the hell you big demon"
Usiku wa jana nikalala natafakari vituko alivyonifanyia. Bado sikupata majibu nikampandia hewani kuuliza nini hasa tatizo. Akanijibu eti ina maana wewe kila ukikutana na mimi unawaza mapenzi tu?? Nikamjibu sasa unataka niwaze nini kama hatujaonana mwaka mzima unataka nikikuona niwaze nini??
Wanadada mnisaidie kabla sijampiga chini huyu mwenzenu. Au kashanipiga chini yeye??
Asalaam Aleykum!
Mr Abunuasi hata ktk janga la korona sio kwamba maisha yanasimama....yanaendelea nivumilie tu mkui wangu.Hivi wewe, akili zetu zote ziko kwenye janga la corona na wewe unatuletea upuuzi wa kichwa cha chini????
07987777777
mkuu naona hizo namba hapo kama zimezidi hiv...Zipo 11 badala ya 10.07987777777
Nimesoma vibaya nina stress ngoja niandike vizurimkuu naona hizo namba hapo kama zimezidi hiv...Zipo 11 badala ya 10.
Lakini mkuu tusiwalaum tu, je ni kweli kulikuwa na cheni kwenye gari yako?Ishatokea....tulifika kabisa na nishalipia kila kitu..nataka kuanzaa mchezo mchezo naona mtu hana mood...shika shika wapi? Nikaona isiww tabu nikavaa nguo zangu nikamwambia utanikuta kwenye gar...baada ya mda akatoka kanuna,nikawasha gar nikasepa kumwaga town niendelee na mishe zangu..baadae eti ananiuliza ile cheni ya kike iliyokatika niliyoiona kwnye gar yako ni ya nani? Umeanza umalaya ehee?
Nikamuuliza kwanini ukuniuliza pale pale et sikuwa na.mood...hawa viumbe ni umiza kichwa aisee.
Yeap..ilikuwepo mkuu but si angeuliza pale pale tumalize hizo mambo..Lakini mkuu tusiwalaum tu, je ni kweli kulikuwa na cheni kwenye gari yako?
mkuu kuna mambo bila shaka yameshawahi kuharibu mood ya bidada, kama unamfikisha mahali wanaita kilele hawezi kukataa dushe lako. hataki kusema tu ukweli ila hiyo pochi inawenyewe ambao akiona tu simu zao tayari analoa.Wandugu mnaweza kuniita jina lolote baya mnaloweza kujisikia kuniita. Iwe zezeta, zoba, Boya, punga, mwanaume suruali, hanithi vyovyote mimi nitakubali tu.
Ni baada ya jana ambapo nilipanga na mpenzi wangu tukutane ktk hotel moja ya kifahari hapa jijini Dar baada ya muda kama mwaka hivi hatujaonana na mwanamrembo huyo. Kwa kuwa nilikuwa nimejikoki niko sawa nikiwa na Rupia za kutosha, akili na mwili niko murua kabisa. Sina mawazo wala wasi wasi. Nilianza kupanga nae maandalizi toka wiki jana, na alionekana kuwa na shauku sana kuonana na mimi na alionekana ana Genye nyingi zimemjaa kweli kweli.
Mambo yalienda kombo kinyume na matazamio yangu. Kwanza tulianzia reception pale kuna resta ya maana tukachangamsha mwili na supu ya maana. Kumbuka hakuna msongamano wala fujo kutokana na kashikashi za Corona.
Baada kama saa moja hivi tukajichomeka ndani. Ilikuwa raha ukifika ndani lazima umwage razi yaani urudi utotoni kama ulivyozaliwa. Nasi tukafanya hivyo kukidhi mahitaji ya nature. Lakini cha ajabu bidada wangu kila ninachofanya ha respondi yaani mwitikio wake kama vile ananiogopa nina corona. Basi nikapunguza speed. Nikaona labda hayuko na mood vile.
Nikapiga reverse ya harakati zangu. Nikaanza na gia mpya shawishi mtuu weeee lakini wapi. Vuta huku vuta kule, shika hapa shika pale lakini mmh!! Kama niko na zombie vile au roboti. Badae sana nikaamua kusepa. Nilimtafutia Uber pale ikampeleka mpaka nyumbani kwake alipofika mida ya saa 1 jioni akanipigia simu akisema" I love u" nikajisemea moyoni "Go to the hell you big demon"
Usiku wa jana nikalala natafakari vituko alivyonifanyia. Bado sikupata majibu nikampandia hewani kuuliza nini hasa tatizo. Akanijibu eti ina maana wewe kila ukikutana na mimi unawaza mapenzi tu?? Nikamjibu sasa unataka niwaze nini kama hatujaonana mwaka mzima unataka nikikuona niwaze nini??
Wanadada mnisaidie kabla sijampiga chini huyu mwenzenu. Au kashanipiga chini yeye??
Asalaam Aleykum!