Eliakim Thomas
Member
- Dec 22, 2013
- 76
- 59
stand yao ni pale mwembe tayari pembeni yabarabara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mombasa Bus Stops
Hero, a simple search on Google maps would have helped avoid this unnecessary public display of ignorance!
Mombasa Bus Stops
nairobi bus stations - Google Searchwao wanabisha toka asubuhi lakini hawaleti picha ya stand ya msa tuone ila wanabisha tu
Unapoteza Muda kwa rubbish, mji wa mombasa hauna stand kazi yenu kujitapa tu, mji uko hovyo, mmejaa sifa tu wakati hakuna lolote la maanaDont give me that rubbish ati niweke picha. Wewe jitafutie mitandaoni. Wewe ungekuja hapa kuuliza kama zipo na mahala gani, na ndizo hizo hapo nimekuwekea, picha for what?
Sasa Dar ndio kuna stand?Unapoteza Muda kwa rubbish, mji wa mombasa hauna stand kazi yenu kujitapa tu, mji uko hovyo, mmejaa sifa tu wakati hakuna lolote la maana
Sleep well....Hivi unawaona watu wote mazuzu kama wewe? Umeweka link ya kitu gani hapo? Hebu fungua tuone ulichoweka
WashangazaUnapoteza Muda kwa rubbish, mji wa mombasa hauna stand kazi yenu kujitapa tu, mji uko hovyo, mmejaa sifa tu wakati hakuna lolote la maana
modern coast is okay for transport though if you prefer much cheaper tahmeed will do. Residence you can get a room for 1500 bed and breakfast in mtwapa that's almost on upper scale. Welcome to Kenya enjoy your stayNi bus gan la Dar - Mombasa nzuri bei ya kawaida
Na pia ni lodge gan Mombasa ambazo siyo aghali sana lakin bora na zinapatikana mitaa gan
Wenyeji tafadhali
Thanks Muchmodern coast is okay for transport though if you prefer much cheaper tahmeed will do. Residence you can get a room for 1500 bed and breakfast in mtwapa that's almost on upper scale. Welcome to Kenya enjoy your stay
Af mbona wakenya maringo yote hayo kumbe hamna kitu.saivi nimetokea maeneo ya mukaa kwa wakamba nimeteremka sehemu inaitwa salama naelekea mombasa.huwezi amin gari ya route nairobi mombasa ni mafuso kama yanayopiga route ya za wilaya to wilaya tanzania
hata mi nilipitia huko juzi, ungeangalia kushoto kwako ungeona barabara nyengine hapo inajengwa, hio barabara nyengine ilibomolewa kwa minajili ya ujenzi wa reliAf mbona wakenya maringo yote hayo kumbe hamna kitu.saivi nimetokea maeneo ya mukaa kwa wakamba nimeteremka sehemu inaitwa salama naelekea mombasa.huwezi amin gari ya route nairobi mombasa ni mafuso kama yanayopiga route ya za wilaya to wilaya tanzania
Dar to msa elfu 30, tahmeed usisahau kadi ya yellow pale border vinginevyo utalipa elfu 10, hotel kuanzia elfu 1 ya Kenya na kuendelea, safari njema,hv kwa makadilio inaweza kwenda shingp hadi mombasa maradhi na makazi niandae kaa shingpi nikawasabahi watani wangu wa jadi
laki mbili itatosha mkuuDar to msa elfu 30, tahmeed usisahau kadi ya yellow pale border vinginevyo utalipa elfu 10, hotel kuanzia elfu 1 ya Kenya na kuendelea, safari njema,