Maajabu! Jiji la Mombasa halina stand ya bus

Duuh hayo mavumbi sasa utadhani stendi ya makambako
 
What umeongea ni real zamani huko tulipokuwa kwenye Communism wao Kenya walikuwa wapo kwenye Capitalism.

Ikawa mambo yote mazuri tulihisi hapo Kenya bt baada ya kubadili policy ya Communism tukaja kuwapiku kwa mambo mengi tu..

Hiyo ya kukosa Stand za Bus ni Kenya nzima ,Nairobi ndiyo kabisa hawana hizo Stand...na wizi ni mkubwa ktk City Centre kule kwenye mitaa yenye Statue ya Thom Mboya na pana Park ambazo watu hukaa tu from morning to evening without Lunch yaani wako na SHIDA mno.

Km hujafika Kenya utaongopewa mno na Wakenya kwani wao ni wazuri mno kwa confidence..
 
Ni kweli kabisa mombasa hakuna bus stage mabasi yote yakiwemo tahmeed,modern cost,mash poa,oxygen etc yanabeba abiria pale mwembe tayari kwenye petrol stations
 
Leo hata ukiona stage bus ya nairobi yani inazidiwa hata stend ya shinyanga yani ni uchafu jiji zima stage yake ovyo haifai kabisa hahahhhahahhahahaha yani hawa jamaa hua sifa za bure tu hahahhahah
 
Na ulichosema ni sawa kabisa from lungalunga to mombasa 90km barabara yote ina holes mbovu sana haifai
 
Magufuli ashaongeza kivuko kingine kipya kinaitwa MV kazi sasa viko vitatu na zote zinapiga kazi zote tatu
 
Kwa sifa tu hawajambo hehehhehe
umetapika sana...ebu lianzishe la msa vs mwanza...naona unajitapa kila mahali.mbona uandike kwa mate ilhali wino uko..libwage ape tuone kama hamtakimbiana
 
umetapika sana...ebu lianzishe la msa vs mwanza...naona unajitapa kila mahali.mbona uandike kwa mate ilhali wino uko..libwage ape tuone kama hamtakimbiana
Anzisha hata wewe twende kazi maana mumeanzisha kisumu tumewaambia tulete arusha au tanga au zanzibar au mbeya naona kimya hawaongei hhahaahahhahaha munajifanya mabubu safari hiiii tutakula sahani moja mpaka tufike migori πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
infact changanya mwanza na iyo arusha then tucompete na msa...
 
infact changanya mwanza na iyo arusha then tucompete na msa...
Jiamini basi mbona hujiamini tuliwaambia nairobi kisumu na mombasa kwa dar na hamutoboi sasa Mwanza wewe hutoki hehhehhheh alaf arusha kwa kisumu ndio kabisa ahhahahahaha au niwape tanga maana bado kuna Zanzibar hahhaahahhah tutakula sahani moja mpaka tufike migori na homabay hahahhahahahah
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…