Maajabu: Kenya nao wafanya maandamano kupinga ukatili wa polisi Marekani

Maajabu: Kenya nao wafanya maandamano kupinga ukatili wa polisi Marekani

Kiswahili ni lugha ya mwambao wa East Africa, so hata Kenya ni lugha yao pia hasa maeneo ya Mombasa, Lamu ambapo walianza kuitumia zamani sana.
Hata wasomali wa Kismayu wana haki ya kusema kwamba Kiswahili ni chao. Walianza kuzungumza kiswahili karne karibia mbili kabla ya hawa wasukuma na jamaa wengine wa bara wanaomwaga povu humu.
 
1academ,

'Mabeberu'. Leo naona humu kuna waafrika weusi, 'house niggers', ambao wanaunga mkono unyanyasaji wa hao hao mabeberu dhidi ya wenzao, wenye ngozi nyeusi kama zao. Kisa eti wakenya wameandamana, tena wakenya binafsi, ambao wana uraia pacha(wengi wao), urai wa marekani na wa Kenya pia. Kuna hadi wazungu kule marekani ambao wapo kwenye mstari wa mbele wakiandamana dhidi ya ubaguzi wa watu weusi. Yaani kwa kifupi wanadhihirisha kwamba licha ya ngozi zao nyeupe wana uafrika ndani yao. Zaidi hata ya baadhi ya hawa wenzetu wanaomwaga povu humu, wakiwa hapa hapa barani Afrika! Wanatumia hadi lugha yetu ya kiswahili kwenye maandamano yao kule US. [emoji1]


Wachina bado wanawapiga viboko? Hivi maandamano siku gani
 
Raia wa Kenya wamefanya maandamano katika Ubalozi wa Marekani nchini humo kulaani mauaji ya Raia mweusi aliyeuawa na polisi nchini humo

Jambo la kustajaabisha Ni kuwa Kenya imekuwa iki trend duniani kwa ukatili wa polisi wao wanaopiga raia, kuua na kuwafungulia mbwa huku wakicheka

Lakini hawajawahi kufanya maandamano kupinga ukatili huo, je huku Ni kutokujielewa au Ni kutafuta attention?

Binafsi ningeshangaa hata Tanzania au nchi yoyote ya Africa wangeandamana kupinga ukatili wa polisi Marekani

Labda maandamano ya Marekani yangetuchochea na sisi kufanya maandamano dhidi ya polisi wetu na sio wa Marekani.

Wakenya wanapenda kusifiwa na wazungu wanaona raha wakijisogeza sogeza
 
You're in Kenya fighting Racism in USA, but in your country you are not allowed to marry a BLACK from another tribe.

Punguzeni shobo.
Si ndo hawa hawakwend a kazini baada ya Obama kuwa rais wa Marekani.. SHOBO KWA KWENDA MBELE
 
Wanafik ni nyinyi, sielewi huo ubavu wa kuwakashifu wakenya wanaondamana, kwa sababu zozote zile, mnaupata wapi. Wabongo hata viongozi wenu kwenye ngazi za juu kabisa wakiuwawa, wakipigwa risasi au wakipotezwa huwa mpo mpo tu. Hata serikali yenu ikitafuna hela zenu huwa mnakunja tu mikia kwa uoga. Leo hii mnaruka ruka kisa wakenya ambao wana jamaa zao marekani na wengine ambao wana uraia pacha wameandamana kwasababu ya dhulma dhidi ya watu weusi. Wakenya wameandamana mara nyingi sana dhidi ya ukatili wa Kenya Police.
kenyan-protest.jpg
Tanzania sisi sio waoga ila Mwenzi Mungu katupa ustaarabu


Na pia vile vile tunapenda kuchunga amani yetu hii isipotee kwetu sisi hii amani ni ya thamani Sana kuliko mnavyodhani


Kila mtu atatue matatizo yake kwa namna anayoona yeye ni sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi sikatai kwetu Kuna dhuluma, ndio maana hatujashoboka matatizo ya mbali Huko wakati tuna ya kwetu Msiojoelewa Ni nyie, eti mnaandama mtu kauawa na polisi Marekani, wakati watu wenu wanauawa Kama kuku na hamuandamani, eti Wana uraia pacha, kwa hiyo uraia pacha mbona hawaandamani Wakenya wakiuawa?Huu ukatili wa polisi wa Kenya dunia nzima inawezekana ndio mnaongozaView attachment 1467454
Umechanganyikiwa, hiyo picha hapo ni ya wakenya na mabango wakiandamana ndani ya nchi ya Kenya dhidi ya ukatili wa Kenya Police.
Kama hivi;
PA-28044745.jpg
Sasa kwasababu umekubali kwamba watanzania huwa mnadhulumiwa na Policcm yenu nieleze au nionyeshe kwenye picha au video siku mlipotetea haki zenu, mkaandamana au mkalaani ukatili wao kwa vitendo. Huo ndio unafik ninaouzungumzia, hamna 'moral authority' yeyote ya kumkashifu mtu yeyote yule. Kutetea haki zenu na kuandamana ni misamiati kwenu.
 
Wabongo wengi jf ni vichwa maji hilo halina shaka.

Kuandamana dhidi ya dhulma ni kitu kizuri bila kujali wapi au nani kadhulumiwa. Lakini Huu unafki umepitiliza, Wakenya wamekua wakiandamana dhidi ya serekali yao na watanzania huwa hatuchelewi kuazianzishia nyuzi za "kumewaka moto huko Kenya" leo hao hao waanzisha nyuzi wamejisahaulisha wanawauliza kwanini hawaandamani?!

Kukejeli wakenya kuandamana dhidi ya dhulma za huko marekani ni kutokujielewa.

- kwanza its the right thing to do, hata kama wangeshindwa kuandamana za nyumbani (tungewakumbusha) ila haimaanishi sasa hili la marekani ni kosa.

- Maandamano ni ya ubaguzi wa watu weusi, wakenya wengi ni weusi kwaiyo inawahusu sawa na invomhusu mtu yeyote mweusi duniani

- kwa asilimia ya raia waliopo nje ya Kenya, wengi wapo marekani manake next time inaweza ikawa ndugu yake au yeye mwenyewe ukizingatia wana uraia pacha!

- solidarity. tuliona kipindi cha mauaji ya garisa, university nyingi marekani walionyesha solidarity nao.

- tushawaona wakiandamana dhidi ya uonevu wa serekali ya M7. Nadhani pia Unavozidi kuskika na kujulikana inakupa soft powers
 
Wakenya wanapenda kusifiwa na wazungu wanaona raha wakijisogeza sogeza
Hizo ndio huwa wanaziita akili za kuazima. Maandamano ya watu weusi yanayoendelea marekani sasa hivi ni dhidi ya unyanyasaji wa wazungu na polisi wao. Sasa wazungu watawasifiaje wanaounga mkono maandamano hayo?
 
Hizo ndio huwa wanaziita akili za kuazima. Maandamano ya watu weusi yanayoendelea marekani sasa hivi ni dhidi ya unyanyasaji wa wazungu na polisi wao. Sasa wazungu watawasifiaje wanaounga mkono maandamano hayo?
Namaanisha Kenya inapenda kiki za kishamba kuambie nao Kenya wameandamana munaona sifa sababu ya korona police Kenya imeua watu 4 Kama wanaua mamba vile lakini hata hatukuona maandamano ,unataka kutuambia Kenya imeumizwa Sana na kifo Cha mmarekani 1 kuliko raia wa Kenya wanne?. Ndio maana kila cku tuna waambia wakenya wanafanya vitu kwa kufata mkumbo sio kwa kuguswa au kwa maamuzi yao .Kama huo mlingoti wenu eti unasema tumeamua kufungua sababu Nchi zengine zinafungua Kwan korona ya nchi zingine ndio ya Kenya kwahiyo kumbe viongoz wenu hawakufunga sababu ya korona Ila sababu Nchi zingine zimefunga Kama wasingefunga bc na Kenya wasingefunga huku kunaitwa KUKOMAA KUANZIA SHINGONI KUJA CHINI NA SIO JUU.
 
Upumbavu uliokuwepo Kwenye Nchi yao wanatuletea sisi ,mawili lada kingereza hajui au haijui TANZANIA [emoji1241] na watanzania kwa ujumla labda kwa kumsaidia tu Mimi mtu wa pwani nimeenda kuoa Tanga anko wangu kaoa Iringa mdogo wangu anataka kuoa Dodoma Sasa nadhani Kama kawaida yake akili yake ya mgando anadhani mambo ya ovyo yaliyokuwepo nchini mwake anadhani yapo Nchi zote cc huku kila mmoja na kabila lake ila tukikutana wote sawa
 
Ni vizuri watu wote duniani hasa Africa hasa africa mashariki tena tanzania hasa hasa chato na njombe na sehemu zote tujue na kuelewa neno hili
CHARITY BEGINS AT HOME
 
Kenya police force ni criminal enterprise baadala ya kupambana nayo wanahangaika na mambo yaliyo nje ya uwezo wao
 
Back
Top Bottom