Maajabu: Kenya nao wafanya maandamano kupinga ukatili wa polisi Marekani

Maajabu: Kenya nao wafanya maandamano kupinga ukatili wa polisi Marekani

Kenya police force ni criminal enterprise baadala ya kupambana nayo wanahangaika na mambo yaliyo nje ya uwezo wao

Kama hujui ulizia utaambiwa. Huyo hapo sio afisaa, ni mwanaharakati Boniface Mwangi akiwakashifu na kuwaumbua polisi, tena akiwa amevalia sare zao za kazi. Ingawa pia amezungumza kuhusu masaibu yao kazini. Huyo jamaa huwa yupo kwenye mstari wa mbele na wanaharakati wenzake kwenye maandamano karibia yote nchini Kenya. Iwe ni dhidi ya bunge la Kenya, viongozi, ukatili wa polisi, ufisadi n.k, n.k, lazima utampata. Tena maandamano mengine ni yeye ndio huwa anayapanga. Wamemkamata sana kwa ujasiri wake kwenye maandamano tofauti nchini Kenya, ila hawajaweza hata siku moja kumkomesha.
images
 
Wanafik ni nyinyi, sielewi huo ubavu wa kuwakashifu wakenya wanaondamana, kwa sababu zozote zile, mnaupata wapi. Wabongo hata viongozi wenu kwenye ngazi za juu kabisa wakiuwawa, wakipigwa risasi au wakipotezwa huwa mpo mpo tu. Hata serikali yenu ikitafuna hela zenu huwa mnakunja tu mikia kwa uoga. Leo hii mnaruka ruka kisa wakenya ambao wana jamaa zao marekani na wengine ambao wana uraia pacha wameandamana kwasababu ya dhulma dhidi ya watu weusi. Wakenya wameandamana mara nyingi sana dhidi ya ukatili wa Kenya Police.
kenyan-protest.jpg
Basi hapa wakimaliza kuandamana wanaenda kujipiga lockdown au ndio technically lockdown ishaisha.
😀😀😀😀😀😀😀
 
Kama hujui ulizia utaambiwa. Huyo hapo sio afisaa, ni mwanaharakati Boniface Mwangi akiwakashifu na kuwaumbua polisi, tena akiwa amevalia sare zao za kazi. Ingawa pia amezungumza kuhusu masaibu yao kazini. Huyo jamaa huwa yupo kwenye mstari wa mbele na wanaharakati wenzake kwenye maandamano karibia yote nchini Kenya. Iwe ni dhidi ya bunge la Kenya, viongozi, ukatili wa polisi, ufisadi n.k, n.k, lazima utampata. Tena maandamano mengine ni yeye ndio huwa anayapanga. Wamemkamata sana kwa ujasiri wake kwenye maandamano tofauti nchini Kenya, ila hawajaweza hata siku moja kumkomesha.
images
Kwani mimi nimesema yeye ni afisa polisi ? Anajulikana kwa harakati zake na video inajielezea. Kenya mna genge la wahuni mnaloita police force, kila siku kina Robert Alai wanaandika uhuni wa hilo genge. Kenyan police are corrupt to the core, Tanzania, Uganda polisi wanaomba rushwa ila nyie kwenu wanafanya extortion.

Kama mnaandamana mgeandamana kwanza polisi wenu waache wafanyia unyama na ujambazi, hayo mambo ya akina Floyd waachieni wamarekani na ulaya nyie mkifa huku, hakuna raia wa marekani atakayeandamana.
 
Ni vizuri kupinga ubaguzi. Hongereni.

Lakini najua hamuwezi kuandamana kupinga uhayawani wa polisi wenu kwa jinsi wanavyowabutua kila siku hapo Kenya!! Mkithubutu mtachapwa kama majibwa koko!

I don't blame you! You are cowards!

cc MK254
Tanzania are more cowards than Kenyans.
 
You're in Kenya fighting Racism in USA, but in your country you are not allowed to marry a BLACK from another tribe.

Punguzeni shobo.

Unaeza give credit huyu mKenya aliandika hii statement, and we know as usual your always camping on Kenyan pages
 
Basi hapa wakimaliza kuandamana wanaenda kujipiga lockdown au ndio technically lockdown ishaisha.
Acha ushamba, hiyo picha ni ya mwaka uliopita kabla janga la COVID-19 liibuke. Alafu hata sasa hivi Kenya haipo kwenye lockdown, labda unatufananisha na Uganda.
 
Acha ushamba, hiyo picha ni ya mwaka uliopita kabla janga la COVID-19 liibuke. Alafu hata sasa hivi Kenya haipo kwenye lockdown, labda unatufananisha na Uganda.
Heee Kenya haipo kwenye lockdown?Oya MK254 hampo kwenye lockdown?.Maana mwenzako MK254 anatuponda tusioweka lockdown na anadai Kenya kuna lockdown.
 
Kwani mimi nimesema yeye ni afisa polisi ? Anajulikana kwa harakati zake na video inajielezea. Kenya mna genge la wahuni mnaloita police force, kila siku kina Robert Alai wanaandika uhuni wa hilo genge. Kenyan police are corrupt to the core, Tanzania, Uganda polisi wanaomba rushwa ila nyie kwenu wanafanya extortion.

Kama mnaandamana mgeandamana kwanza polisi wenu waache wafanyia unyama na ujambazi, hayo mambo ya akina Floyd waachieni wamarekani na ulaya nyie mkifa huku, hakuna raia wa marekani atakayeandamana.
Yaani unawatetea polisi wa Tz ambao niliona wakimpiga mwezenu hadharanii hadi utumbo wake ukatoka nje na wakamuua? Alafu hata hakuna mmoja wenu ambaye alidhubutu kuandamana na kulaani kitendo hicho. Kabla ya kuwakashifu wakenya, hebu toa video kama ya Boniface Mwangi uwaumbue Policcm ukiwa umevalia sare zao, watu waje kwenu kula wali wa bure.
 
Yaani unawatetea polisi wa Tz ambao niliona wakimpiga mwezenu hadharanii hadi utumbo wake ukatoka nje na wakamuua? Alafu hata hakuna mmoja wenu ambaye alidhubutu kuandamana na kulaani kitendo hicho. Kabla ya kuwakashifu wakenya, hebu toa video kama ya Boniface Mwangi uwaumbue Policcm ukiwa umevalia sare zao, watu waje kwenu kula wali wa bure.
Huyo askari aliyefanya hayo alishahukumiwa na vyombo vya sheria, na matukio hayo hayajirudii hovyo. Tz police force bado ina matatizo yake mengi ndio maana nasema si sahihi sisi kuandamana kwa ajili ya haki za wamarekani weusi kabla ya kuweka mambo yetu ya ndani sawa.

Nyie polisi yenu ni genge la wahuni, mnaanza kurukia ya marekani, hapo Mathare tu jana wamefanya nini, si wameua mtu ili akae curfew asife kwa corona ?

Mmerekodi video halafu crime za polisi zimeshuka ? All the noise za Boniface zinafall on deaf ears bora mngemsaidia kuleta change kwa your country.

Angalia most corrupt countrues nyie hamkosi top 10 na the most corrupt officr ni hao hao police force.

SmartSelect_20200603-224015_Chrome.jpg

SmartSelect_20200603-224207_Chrome.jpg


10 Most Corrupt Police Force in the World

https://www.usnews.com/news/best-countries/articles/10-most-corrupt-countries-ranked-by-perception
 
Umechanganyikiwa, hiyo picha hapo ni ya wakenya na mabango wakiandamana ndani ya nchi ya Kenya dhidi ya ukatili wa Kenya Police.
Kama hivi;
PA-28044745.jpg
Sasa kwasababu umekubali kwamba watanzania huwa mnadhulumiwa na Policcm yenu nieleze au nionyeshe kwenye picha au video siku mlipotetea haki zenu, mkaandamana au mkalaani ukatili wao kwa vitendo. Huo ndio unafik ninaouzungumzia, hamna 'moral authority' yeyote ya kumkashifu mtu yeyote yule. Kutetea haki zenu na kuandamana ni misamiati kwenu.
Hivi mara yako ya mwisho kusikia polisi kaua raia Tanzania Ni lini? Kenya wanaua karibia Kila siku
 
Kinachoendelea huko Kunyaland wakiandamana juu ya Black lives matter!

 
Back
Top Bottom