Maajabu kumbukumbu ya Hayati Mwalimu Nyerere kila mwaka Mwanza na sio Mara

Maajabu kumbukumbu ya Hayati Mwalimu Nyerere kila mwaka Mwanza na sio Mara

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Nyerere anatumika kwa kiki za kisiasa na familia yake haifurahishwi na siasa kwenye swala la kitaifa. Sherehe za Nyerere zifanyike alikotokea Mara au kama kama ni kwa mzunguko basi zifanyike sehemu tofauti. Lakini hizi sherehe zimekuwa kama ni za Mwanza day! kufanya kampeni za siasa Mwanza, shinyanga na Simuyu.

Lakini kwa ujumla wake hizi Karume day, Nyerere Day wabadilishe na kuwe na siku mmoja ya Maraisi yaani president Day ya kuenzi viongozi wote waliochangia. Pili Mwenge nao ni upotevu wa pesa tu
 
Nyerere anatumika kwa kiki za kisiasa na familia yake haifurahishwi na siasa kwenye swala la kitaifa. Sherehe za Nyerere zifanyike alikotokea Mara au kama kama ni kwa mzunguko basi zifanyike sehemu tofauti. Lakini hizi sherehe zimekuwa kama ni za Mwanza day! kufanya kampeni za siasa Mwanza, shinyanga na Simuyu.

Lakini kwa ujumla wake hizi Karume day, Nyerere Day wabadilishe na kuwe na siku mmoja ya Maraisi yaani president Day ya kuenzi viongozi wote waliochangia. Pili Mwenge nao ni upotevu wa pesa tu
Naunga mkono hoja ,
 
Mara hakuna hoteli za kutosha wageni
Nyerere hakuhamashisha uwekezaji kwao
Wanaiogopa mizimu yake huko Mara maana hawayaishi yale aliyoyapigania kwa vitendo bali wanamuenzi kwa maneno tu na kwa sababu za Kisiasa tu kupata Political mileage. !

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu !
 
Nyerere anatumika kwa kiki za kisiasa na familia yake haifurahishwi na siasa kwenye swala la kitaifa. Sherehe za Nyerere zifanyike alikotokea Mara au kama kama ni kwa mzunguko basi zifanyike sehemu tofauti. Lakini hizi sherehe zimekuwa kama ni za Mwanza day! kufanya kampeni za siasa Mwanza, shinyanga na Simuyu.

Lakini kwa ujumla wake hizi Karume day, Nyerere Day wabadilishe na kuwe na siku mmoja ya Maraisi yaani president Day ya kuenzi viongozi wote waliochangia. Pili Mwenge nao ni upotevu wa pesa tu
Sawaa
Tuna siku ya mashujaa
 
Nyerere anatumika kwa kiki za kisiasa na familia yake haifurahishwi na siasa kwenye swala la kitaifa. Sherehe za Nyerere zifanyike alikotokea Mara au kama kama ni kwa mzunguko basi zifanyike sehemu tofauti. Lakini hizi sherehe zimekuwa kama ni za Mwanza day! kufanya kampeni za siasa Mwanza, shinyanga na Simuyu.

Lakini kwa ujumla wake hizi Karume day, Nyerere Day wabadilishe na kuwe na siku mmoja ya Maraisi yaani president Day ya kuenzi viongozi wote waliochangia. Pili Mwenge nao ni upotevu wa pesa tu
Nyerere Day ndio inafanyika kwa mara ya kwanza hapa Mwanza. Na tumejipanga kweli kweli kumuenzi Baba wa Taifa.
 
Nyerere anatumika kwa kiki za kisiasa na familia yake haifurahishwi na siasa kwenye swala la kitaifa. Sherehe za Nyerere zifanyike alikotokea Mara au kama kama ni kwa mzunguko basi zifanyike sehemu tofauti. Lakini hizi sherehe zimekuwa kama ni za Mwanza day! kufanya kampeni za siasa Mwanza, shinyanga na Simuyu.
Mwanza ndio mkoa determinant ya kura za urais wa Tanzania.
Lakini Mwenge nao ni upotevu wa pesa tu
Naunga mkono hoja, na niliwahi kulisema Ingekuwa ni Amri Yake, Magufuli Angefutilia Mbali Mbio za Mwenge!, Jee Ni Amri ya Nani?!. na pia nikauliza
P
 
Back
Top Bottom