Mara hakuna hoteli za kutosha wageniInashangaza sana
Siku ipo ya mashujaa wote wangekumbukwa siku hiyoLakini kwa ujumla wake hizi Karume day, Nyerere Day wabadilishe na kuwe na siku mmoja ya Maraisi yaani president Day ya kuenzi viongozi wote waliochangia.
Ili tukose siku za mapumziko?Siku ipo ya mashujaa wote wangekumbukwa siku hiyo
Naunga mkono hoja ,Nyerere anatumika kwa kiki za kisiasa na familia yake haifurahishwi na siasa kwenye swala la kitaifa. Sherehe za Nyerere zifanyike alikotokea Mara au kama kama ni kwa mzunguko basi zifanyike sehemu tofauti. Lakini hizi sherehe zimekuwa kama ni za Mwanza day! kufanya kampeni za siasa Mwanza, shinyanga na Simuyu.
Lakini kwa ujumla wake hizi Karume day, Nyerere Day wabadilishe na kuwe na siku mmoja ya Maraisi yaani president Day ya kuenzi viongozi wote waliochangia. Pili Mwenge nao ni upotevu wa pesa tu
Wanaiogopa mizimu yake huko Mara maana hawayaishi yale aliyoyapigania kwa vitendo bali wanamuenzi kwa maneno tu na kwa sababu za Kisiasa tu kupata Political mileage. !Mara hakuna hoteli za kutosha wageni
Nyerere hakuhamashisha uwekezaji kwao
Mwenge ni kuhamasisha uzinzi na uasherati kisha kuambukizana ghonorrea.Huo uzinzi unaofanyika hapo mwanza,sioni kama kuna cha Nyerere kuenziwa.
UnazinguaNaunga mkono hoja ,
Mwili ukikataa hyo wk naangalia kalenda hivi huu mwz hauna hata sikukukuu kweli!πππIli tukose siku za mapumziko?
SawaaNyerere anatumika kwa kiki za kisiasa na familia yake haifurahishwi na siasa kwenye swala la kitaifa. Sherehe za Nyerere zifanyike alikotokea Mara au kama kama ni kwa mzunguko basi zifanyike sehemu tofauti. Lakini hizi sherehe zimekuwa kama ni za Mwanza day! kufanya kampeni za siasa Mwanza, shinyanga na Simuyu.
Lakini kwa ujumla wake hizi Karume day, Nyerere Day wabadilishe na kuwe na siku mmoja ya Maraisi yaani president Day ya kuenzi viongozi wote waliochangia. Pili Mwenge nao ni upotevu wa pesa tu
Nyerere Day ndio inafanyika kwa mara ya kwanza hapa Mwanza. Na tumejipanga kweli kweli kumuenzi Baba wa Taifa.Nyerere anatumika kwa kiki za kisiasa na familia yake haifurahishwi na siasa kwenye swala la kitaifa. Sherehe za Nyerere zifanyike alikotokea Mara au kama kama ni kwa mzunguko basi zifanyike sehemu tofauti. Lakini hizi sherehe zimekuwa kama ni za Mwanza day! kufanya kampeni za siasa Mwanza, shinyanga na Simuyu.
Lakini kwa ujumla wake hizi Karume day, Nyerere Day wabadilishe na kuwe na siku mmoja ya Maraisi yaani president Day ya kuenzi viongozi wote waliochangia. Pili Mwenge nao ni upotevu wa pesa tu
Formalities tu ???!! Au ??!sioni kama kuna cha Nyerere kuenziwa.
Mwanza ndio mkoa determinant ya kura za urais wa Tanzania.Nyerere anatumika kwa kiki za kisiasa na familia yake haifurahishwi na siasa kwenye swala la kitaifa. Sherehe za Nyerere zifanyike alikotokea Mara au kama kama ni kwa mzunguko basi zifanyike sehemu tofauti. Lakini hizi sherehe zimekuwa kama ni za Mwanza day! kufanya kampeni za siasa Mwanza, shinyanga na Simuyu.
Naunga mkono hoja, na niliwahi kulisema Ingekuwa ni Amri Yake, Magufuli Angefutilia Mbali Mbio za Mwenge!, Jee Ni Amri ya Nani?!. na pia nikaulizaLakini Mwenge nao ni upotevu wa pesa tu