Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Naona yuko sasa. Kiongozi unatakiwa kuwa na maono na si kufanya mambo kwa mazoea. Tumekuwa tunachukua wachezaji simba na yanga. Tumefika wapi.
Tuwe na hiyo klabu ya taifa. Wakiamka mpira,wakilala mpira. Kazi yao iwe mpira. Ukiwadrill hawa kisawasawa unaweza kuta una bonge la timu. tunasema timu mbovu wachezaji hawana kemia, hawa watakuwa na kemia ya hali ya juu. Wamedrill pamoja muda wote. nchi nyingine zitaiga. Nampongeza kwa kukataa business as usual.
Tuwe na hiyo klabu ya taifa. Wakiamka mpira,wakilala mpira. Kazi yao iwe mpira. Ukiwadrill hawa kisawasawa unaweza kuta una bonge la timu. tunasema timu mbovu wachezaji hawana kemia, hawa watakuwa na kemia ya hali ya juu. Wamedrill pamoja muda wote. nchi nyingine zitaiga. Nampongeza kwa kukataa business as usual.