Ndombwindo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2013
- 1,387
- 2,085
Victoria mwenyewe ni malkia wa wazungu uingereza... upuuzi mtupu.
Hivi ziwa Tanganyika na Victoria yaliandikwa kwenye biblia kitabu gani? Mbona tunasoma mambo ya wazungu tu hao?