Ndombwindo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2013
- 1,387
- 2,085
Hivi ziwa Tanganyika na Victoria yaliandikwa kwenye biblia kitabu gani? Mbona tunasoma mambo ya wazungu tu hao?
Tunadanganywa sanaa aiseeeVictoria mwenyewe ni malkia wa wazungu uingereza... upuuzi mtupu.
Sema kudanganyika ni choice ya mtu, mimi siamini huo upuuzi wa taifa teule, hakunaga kitu kama hicho.Tunadanganywa sanaa aiseee
Nakubaliana na wewe mzee wangu✊️Sema kudanganyika ni choice ya mtu, mimi siamini huo upuuzi wa taifa teule, hakunaga kitu kama
Huko taifa teule hakuna masuala ya kisheitwan kama hayo!Ukipigwa Dushe na Mbarikiwa nawe utabarikiwa?
... kwetu, Mwanza, mtu akisema 'NYANZA' haijalishi ni ziwa au Bahari, zote ni 'NYANZA' TUU!Wewe kondoo hii sio bahari ni ziwa....bahari haiwezi kuzungukwa na ardhi pande zote
Wao waliandika ya kwao.Hivi ziwa Tanganyika na Victoria yaliandikwa kwenye biblia kitabu gani? Mbona tunasoma mambo ya wazungu tu hao?
Itakua lile bwawa dogo pembeni ya Kindai.... singida munangi 😂Hilo ni bwawa tu,kama la pale singidani au kindai, Singapore!!!
Hahhahahaha Bush dokta si tuliandika script ile ya God must be CrazyWao waliandika ya kwao.
.na nyie andikeni ya kwenu.