Ratiba ya vipora ya Simba ligi kuu imetoka na kuonyesha maajabu ya Soka kwa kulazimisha kucheza mechi 7 ndani ya siku 15 huku akilazimika kutoka Mkoa mmoja kwenda mwingi ndani ya siku 2.
Ratiba ya hivi haijawahi kutokea Duniani kukote.
Hata Kama TFF wanataka kuvimaliza ligi ndani ya Muda lakini naona hii Ni mateso kwa wachezaji
Jionee mwenyewe
View attachment 1072235
Sent using Jamii Forums mobile app
Je umeshawahi kuona timu yoyote duniani yenye viporo vingi hivyo? Wakati ule muda upo lakini mnajifanya eti tunawakilisha nchi! Mtuache kwanza, hao tp mazembe j5, walicheza mechi ya ligi jmosi wamecheza mechi!! Hata yanga sasa nao eti wanalalamika kuwa mechi zipo karibu karibu na wanasafiri sana!! Wakati ule ligi inaanza mechi tano zote walichezea dar, tukasema badaye italeta shida, sasa yanawakuta. Tatizo ni upangaji wa ratiba kwa wote sio suala la simba hapaRatiba ya vipora ya Simba ligi kuu imetoka na kuonyesha maajabu ya Soka kwa kulazimisha kucheza mechi 7 ndani ya siku 15 huku akilazimika kutoka Mkoa mmoja kwenda mwingi ndani ya siku 2.
Ratiba ya hivi haijawahi kutokea Duniani kukote.
Hata Kama TFF wanataka kuvimaliza ligi ndani ya Muda lakini naona hii Ni mateso kwa wachezaji
Jionee mwenyewe
View attachment 1072235
Sent using Jamii Forums mobile app
Mateso kwa wachezaji kivipi..wakomae watoto wa kiume sio wanakua narenare kama mabibi harusi
Uliona wapi timu inacheza mechi7 ndani ya siku 14 ?Mateso kwa wachezaji kivipi..wakomae watoto wa kiume sio wanakua narenare kama mabibi harusi
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliona wapi timu inacheza mechi7 ndani ya siku 14 ?
Hapo itazalisha majeruhi wengi hata wachezaji wa timu ya Taifa wanaweza kuathirika
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unaongea as if ratiba walikuwa wanapanga Simba?Embu liache taifa kwanza, mlivyokuwa mnapumzika mlidhani mtacheza vipi hizi match?
Hapa dawa ni kupeleka timu mbili mikoa tofauti, wakati moja iko mkoa A ya pili imeshawasili mkoa B.Ratiba ya vipora ya Simba ligi kuu imetoka na kuonyesha maajabu ya Soka kwa kulazimisha kucheza mechi 7 ndani ya siku 15 huku akilazimika kutoka Mkoa mmoja kwenda mwingi ndani ya siku 2.
Ratiba ya hivi haijawahi kutokea Duniani kukote.
Hata Kama TFF wanataka kuvimaliza ligi ndani ya Muda lakini naona hii Ni mateso kwa wachezaji
Jionee mwenyewe
View attachment 1072235
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka mliandika barua TFF.. Mechi na Biashara isogezwe mbele mjiandae mechi na Yanga.. Ovyo kabisa