Maajabu: Timu inayotumia robo karne kufika makundi kumcheka anayefika robo fainal CL kila mwaka

Kunani tena
 
Yanga ya Max na Ki inakera sana, na Bado! Makolo mpaka mseme!!
Kufa kiume Kila ligi na kukosa makombe kumeharibu akili za Mbumbumbu wengi!
 
Ni kweli yakuishia robo kila siku
 
Ndiyo, robo kwenye mashindano ambayo Utopolo imeingia hatua ya makundi baada ya miaka 25
ALHAJ RAGE mnamcheleweshea bure tu kumjengea mnara wake pale MSIMBAZI, kama nafasi finyu basi hata MOO ARENA sio mbaya.
Makundi CAFCL yalianzishwa 1998.
YANGA mwaka huo huo ilitinga makundi.
Dunduka ilimchukua miaka mitano baadae kutinga makundi (2003).
Enzi hizó ukiwa katika NAFSI mbili ( SPERM na OVUM).
 
Aaahaaa
 
Ukisikia mwakarobo ndiyo huu sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…