Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Team ya taifa ya chini ya umri wa miaka 16 ya DR Congo imeibuka bingwa wa mashindano ya CAF ya vijana chini ya miaka 16 (U16 Africa Youth/Schools Tournament) baada ya kuifunga Senegal kwa goal 3-1.
Hivi ndiyo vikosi vya team zote mbili.
Mabingwa DR Congo.
Mshindi wa pili Senegal.
Mchezaji bora wa mashindano. Ana miaka 15 tu.
Hivi ndiyo vikosi vya team zote mbili.
Mabingwa DR Congo.
Mshindi wa pili Senegal.
Mchezaji bora wa mashindano. Ana miaka 15 tu.