Maajabu ya Afrika: Picha zinapingana na Uhalisia (DR Congo U16 vs Senegal U16)

Maajabu ya Afrika: Picha zinapingana na Uhalisia (DR Congo U16 vs Senegal U16)

Team ya taifa ya chini ya umri wa miaka 16 ya DR Congo imeibuka bingwa wa mashindano ya CAF ya vijana chini ya miaka 16 (u16 Africa Youth/Schools Tournament) baada ya kuifunga Senegal kwa goal 3-1.

Hivi ndio vikosi vya team zote mbili

Mabingwa DR Congo.

View attachment 2126042

Mshindi wa pili Senegal.
View attachment 2126044


Mchezaji bora wa mashindano. Ana miaka 15 tu.
View attachment 2126046
View attachment 2126056
Dah nimejikuta nacheka kwa sautii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huwa sicheki ovyo ila nimecheka sana leo,hiyo njemba hata mi sioni ndani eti ina miaka 15 dah huyo si umri wa kagere
Mpaka umenichekesha na mimi mbele za watu. Ila Afrika Afrika Afrika hatari sana, nimekumbuka umri wa Wema Sapenga ulivyogomeaga miaka 26 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Team ya taifa ya chini ya umri wa miaka 16 ya DR Congo imeibuka bingwa wa mashindano ya CAF ya vijana chini ya miaka 16 (u16 Africa Youth/Schools Tournament) baada ya kuifunga Senegal kwa goal 3-1.

Hivi ndio vikosi vya team zote mbili

Mabingwa DR Congo.

View attachment 2126042

Mshindi wa pili Senegal.
View attachment 2126044


Mchezaji bora wa mashindano. Ana miaka 15 tu.
View attachment 2126046
View attachment 2126056
Heeh[emoji2][emoji2][emoji2] kazi kweli kweli[emoji28][emoji28][emoji28] Sasa Congo kama hao ndio under 16, je over 18 si vigagula kabisa[emoji16][emoji16]

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
1645467438993.png
 
Team ya taifa ya chini ya umri wa miaka 16 ya DR Congo imeibuka bingwa wa mashindano ya CAF ya vijana chini ya miaka 16 (u16 Africa Youth/Schools Tournament) baada ya kuifunga Senegal kwa goal 3-1.

Hivi ndio vikosi vya team zote mbili

Mabingwa DR Congo.

View attachment 2126042

Mshindi wa pili Senegal.
View attachment 2126044


Mchezaji bora wa mashindano. Ana miaka 15 tu.
View attachment 2126046
Nyembe za kutosha zimeng'oa visiki kidevuni kisha unambie ana 15 labda ndevu za ukoo. Jambo hili pana waqt hivi under under za Ghana zilitisha katika mashindano ya kombe la dunia la under under lakini ikaja bainika ni vijeba na nadhani walifungiwa kwa muda flan.
Team ya taifa ya chini ya umri wa miaka 16 ya DR Congo imeibuka bingwa wa mashindano ya CAF ya vijana chini ya miaka 16 (u16 Africa Youth/Schools Tournament) baada ya kuifunga Senegal kwa goal 3-1.

Hivi ndio vikosi vya team zote mbili

Mabingwa DR Congo.

View attachment 2126042

Mshindi wa pili Senegal.
View attachment 2126044


Mchezaji bora wa mashindano. Ana miaka 15 tu.
View attachment 2126046
View attachment 2126056
 
Hao vijana wa senegal watakuja kuwa hatari kwakuwa wameweza kuwatoboa hao vijeba goli moja..
 
Back
Top Bottom