Maajabu ya awamu ya Sita: Hotuba za mama zinapokonga nyoyo za watu

Nimekujibu na kulipa na majibu ya nyongeza. Ninakazia:

"Una uhakika gani kuwa wanaomsifia CCM hawamo?"

Povu lote hilo ni la Omo tu au cha Arusha kimo?

Mwaka huu mtaokota sana makopo hadi yaliyopo majalalani.

Nyambafu!!
Nakuhakikishia, nitaendelea kuwepo CCM na JF hata baada ya Mama. It's not a threat, but a promise!
 
Hiki kinawaudhi sana wafuasi wa dicteta
 
Your browser is not able to display this video.
 
"....nawalipa wazee Wa CCM tu nyie wengine shauri yenu kwa sababu mko kwenye mavyama yasioeleweka labda mkiamua kujiunga na CCM nitawalipa. Serikali ya CCM ina hela nyingi. Tanzania ni dona cantri bwana. Hatuwezi kushindwa vipensheni tu kwa wazee wetu...!!!"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
sio kwamba Mama ni mzuri sana bali nyoyo zetu zilishaumizwa na Yule nyoka wa zamani, ibilisi shetani.

kuna unafuu tu.
 
Mwenyezi Mungu azidi kumbariki @ Madam President Samia.

Azidi kumjalia afya njema, Uzima na hekima.
 
Rejelea majibizano hayo yalikoyokea labda kama na wewe hoja yako ni kuwa mama anasifiwa na wasio wana CCM peke yao.
Mimi nilijibu niliyoona kwenye bandiko lako hapo, ya nini nihangaike na hayo mengine?
 
Tofautisha wana CCM na magenge yenu ya yale makabila ambayo mama inabidi afanye hima kuyazingua mapema iwezekanavyo.
Mama Suluhu akifuata ushauri mbovu kama huu wako, atakuwa kiongozi mbovu zaidi.
Natumaini anayo akili ya kutosha kuelewa na kuepuka jambo la kipuuzi kama hili uliloandika hapa.
 
HEBU TUWE WAKWELI TUACHE UONGO!.

Samia Suruhu Hassan ni Rais wa sita wa Tanzania katika kipindi cha awamu ya tano, tukumbuke rais huyu hakuwa kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi kama mgombea wa nafasi aliyopo sasa.

Sijui katiba inasemaje ila kiuhalisia wengi tunapotoshana sana hapa na sehemu nyingine, sijui kwa kutofaham au tunaogopa kusema au tunapaka rangi kwa ile dhana ya king'ae hata kama kimechoka.

Nimejiuliza sana, kwa nini awamu ya sita how?

Ina maana akiingia kwenye kampeni uchaguzi ujao tutamuweka nafasi ya awamu ya saba na rais wa saba au itakaaje?.

Labda kama kuna kitu cha ziada ambacho kiitifaki/siasa hakipobsawa na sikijui tunaweza kuelezana hapa.
Asante.
 
Mimi nilijibu niliyoona kwenye bandiko lako hapo, ya nini nihangaike na hayo mengine?

Safi kabisa.

Kweri kabisa huna haja ya kuhangaika. Umejibu vyema sana kwa maana umetoa tafsiri sahihi ya kudandia treni kwa mbele.

Komaa hapo hapo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!
 
Mama Suluhu akifuata ushauri mbovu kama huu wako, atakuwa kiongozi mbovu zaidi.
Natumaini anayo akili ya kutosha kuelewa na kuepuka jambo la kipuuzi kama hili uliloandika hapa.

Hahaahaaa haa! Hiiiiii bagosha!

Pole sana. Utakuwa unasoma kinyume nyume.

Sina ushauri kwa mama na wala sijaomba na wala sitaomba kazi hiyo.

Wewe mwenye ushauri mzuri si ukajipe kazi hiyo? Kwani una hata haja ya kuomba? Jipe mwenyewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…