Maajabu ya baadhi ya makanisa: Wapo radhi kumwabudu na kumheshimu Mwamposa lakini siyo Bikira Maria kama vile alifanya kosa kubwa sana kumzaa Yesu

Maajabu ya baadhi ya makanisa: Wapo radhi kumwabudu na kumheshimu Mwamposa lakini siyo Bikira Maria kama vile alifanya kosa kubwa sana kumzaa Yesu

sababu za kupewa sifa ziwe zipi?
Ule wimbo wa kikatoliki umeandikwa hivi'
''Msifuni Mama wa Yesu Kristu Mama wa Mungu wetu, Yeye ni Mama na Bikira''. Ndo maana namuuliza huyu ndugu mkatoliki kwa nini anapewa sifa wakati ni reserve ya Mungu na Kristu wake?. Mimi kwangu namheshimu kwa sababu Mungu alimchagua kuubeba wokovu wa dunia tumboni mwake. Baada ya kifo cha Yesu wote tunaokolewa kwa neema ya Msalaba. Nawaheshimu wakristo wote walio ndani ya Kristu maana hao ni kaka na dada zangu kwenye ufalme wa Mungu. Lakini siwezi kwa namna yeyote nikampa sifa za moyo wangu mtu yeyote maana na yeye ni chombo kama mimi. Labda amepewa utukufu uliozidi na Mungu nampongeza lakini sifa za moyo wangu ni za Bwana Mungu na Masiha wake yaani Kristu Yesu tu.
 
Nimeshajinu tauari kwamba hata wewe unaweza kuniombea in case of falling down ili nisirudie
Ukiomba kwa Mungu, omba kwa jina la Kristo pekee na sio jina la Maria au jina lolote jingine.
 
Mimi ni hai, na ninawaombea Kwa Mungu aliye hai Yesu Kristo aliyefufuka.

Wapi pameandikwa tuombe Kwa Jina la Mariam?
Bikra Maria yeye anayafikisha maombi yetu kwa mwanae . Bikra Maria anasikilizwa na Yesu kuliko mlokole yeyote yule . Bikra Maria ana nguvu kubwa za kiroho kuliko mlokole yeyote . Mungu kuruhusu Yesu Kristo arithi nusu ya DNA za bikra Maria ni jambo kubwa, Bikra Maria amejaa neema . Bikra Maria kuwaombea watu ni sahihi .
 
Bikra Maria ana nguvu kubwa za kiroho kuliko mlokole yeyote . Mungu kuruhusu Yesu Kristo arithi nusu ya DNA za bikra Maria ni jambo kubwa, Bikra Maria amejaa neema .
Mariamu ni Mbarikiwa hatupingi.

Hilo la kuombewa na Mariamu ni mapokeo na mafundisho ya mashetani.

KAZI ya kutuombea ni ya Roho wa Kristo aitwaye Roho mtakatifu.

Kufanya Maria substitute ya Roho mtakatifu ni utovu wa nidhamu na makufuru makuu.
 
Ule wimbo wa kikatoliki umeandikwa hivi'
''Msifuni Mama wa Yesu Kristu Mama wa Mungu wetu, Yeye ni Mama na Bikira''. Ndo maana namuuliza huyu ndugu mkatoliki kwa nini anapewa sifa wakati ni reserve ya Mungu na Kristu wake?. Mimi kwangu namheshimu kwa sababu Mungu alimchagua kuubeba wokovu wa dunia tumboni mwake. Baada ya kifo cha Yesu wote tunaokolewa kwa neema ya Msalaba. Nawaheshimu wakristo wote walio ndani ya Kristu maana hao ni kaka na dada zangu kwenye ufalme wa Mungu. Lakini siwezi kwa namna yeyote nikampa sifa za moyo wangu mtu yeyote maana na yeye ni chombo kama mimi. Labda amepewa utukufu uliozidi na Mungu nampongeza lakini sifa za moyo wangu ni za Bwana Mungu na Masiha wake yaani Kristu Yesu tu.
Umenena vema
 
Bikra Maria yeye anayafikisha maombi yetu kwa mwanae . Bikra Maria anasikilizwa na Yesu kuliko mlokole yeyote yule . Bikra Maria ana nguvu kubwa za kiroho kuliko mlokole yeyote . Mungu kuruhusu Yesu Kristo arithi nusu ya DNA za bikra Maria ni jambo kubwa, Bikra Maria amejaa neema . Bikra Maria kuwaombea watu ni sahihi .
Sio kweli, na hapa unaongea kwa mtazamo wako hebu weka maandiko yanayosema Bikira Mariamu anayafikisha maombi yetu kwa mwanae
 
Tunampa sifa za kutuzalia mkombozi. Hakuna namna nyingine ya ku recognize huo ukwelii mtakatifu
Tuzo ya kazi iliyotukuka haitolewi na mwanadamu. Kule Mbinguni kuna siku kutakua na sherehe ya kugawa tuzo mbalimbali. Kuna watakaofanywa kuwa nguzo kwenye hekalu la Bwana, kuna watakaopewa jina jipya asie lijua mwingine isipokua yeye na kuna watakaopewa taji za kung'aa. Sio kazi yetu kutoa zawadi kwa waliosaidia mpango wa Mungu ukafanikiwa.
Adam kwa kuasi alitupa kuujua upendo mkuu wa Mungu wa kumtos Mwanapekee atukomboe
Noah kwa kuwa mwenye haki alipewa kutunza mbegu ya uzao duniani.
Ibrahim kwa kuwa mwenye imani alipewa kujenga misingi ya Nyumba ya Mungu iliyobomoka
Jacob kwa kumg'ang'ania Mungu alipewa kuwa taifa la Israel kwa kupewa jina jipya.
Musa kwa kuwa mwaminifu kwa Mungu alipewa kuwa mhudumu wa kwanza wa madhabu maana hata Aaron aliwekwa kazini na Musa na agano alipewa yeye
Daudi kwa kujinyenyekeza mbele za Mungu alipewa ahadi ya kuwa na mtawala siku zote mbele ya Mungu. Pia alipewa kiti cha enzi cha milele.
Elia kwa wivu wake kwa Mungu alipewa kuitengeneza madhabahu ya Israel iliyokua imevunjika
Je tuwape na wao sifa kwa vitu walivyojaliwa na Mungu kuvifanya? Sifa za MOYO WAKO NI HAKI YA MUNGU WA MBINGUNI NA KRISTO WAKE ambae kwa damu yake alimnunulia Baba watu wa kila kabila, taifa na lugha kuwa Makuhani, wafalme na watawala kwa niaba ya Mungu
 
Mariamu ni Mbarikiwa hatupingi.

Hilo la kuombewa na Mariamu ni mapokeo na mafundisho ya mashetani.

KAZI ya kutuombea ni ya Roho wa Kristo aitwaye Roho mtakatifu.

Kufanya Maria substitute ya Roho mtakatifu ni utovu wa nidhamu na makufuru makuu.
Asa unawezaje kumtenganisha Bikra Maria na Roho mtakatifu ?
 
Biblia imetoa ruksa kuombeana walio hai
Inasema ombeaneni ninyi kwa ninyi

Ndio maana huwa tunaomba Yesu sababu yu hai na kuombeana

ila kuomba maiti ikuombee kama wafanyavyo katoliki sio sawa iwe maiti ya Maria nk

Tatizo linakuja kanisa katoliki kwenda kinyume na Biblia na kujipa mamlaka ya kutangaza nani mtakatifu hapa duniani na kutoa ruksa wakatoliki wamuombe huyo mtakatifu waliyemchonga

Biblia inatamka wa,I kitabu cha ufunuo kuwa watakatifu watajulikana siku ya mwisho ya hukumu ya mwisho wa Dunia ambapo.kila mtu atahukumiwa na kuelezwa status yake kama ni mtakatifu au la!!

Sasa hivi katoliki wako kwenye mchakato wa kutaka kumtangaza Julius Kambarage Nyerere kama mtakatifu ili wakatoliki waambiwe anzeni sala kuomba
"Na mtakatifu Nyerere utuombee" huo ni utapeli Si tusubiri siku ya mwisho Mungu mwenyewe atangaze mtakatifu nani na nani sio? Katoliki wana kiwanda Vatican cha kutengeneza watakatifu
 
Jibu zuri kasoro hapo jina la Yesu ni la kibinadamu. Jina la Yesu sio la kibinadamu. Ni jina alilorithi kutoka kwa Baba yake. Hilo ndilo jina halisi la Mungu ambalo haikuruhusiwa hata kulitaja wakati wa agano la kale. Jina la Yesu sio la kibinadamu na ndo maana ukuu wa Yesu unaanzia pale alipoambiwa wewe ni mwanangu leo nimekuzaa, keti mkono wa kuume hata niwafanyapo adui zako kuwa kiti cha miguu yako na pia asema ni mkubwa kuliko malaika kadiri ya jina alilorithi lilivyo kuu kuliko lao!
Amen
 
Rejea kwenye harusi ya kana
Yesu wapi alitoa maagizo kuwa Yeye akifa na mama yake akifa watu wawe wanaenda kumuomba marehemu mama yake awaombee kwa Mungu au waende kuwaomba mitume waliokufa wawaombee kwa Mungu
 
Una tatizo kubwa sana katika kufikiri.

Wa kupewa sifa na Heshima na utukufu ni Mungu pekee.

Mariam na Mwaposa ni viumbe tu.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
Mungu ni mmoja tu kaka ni "Mungu" where does Yesu come from, Mungu ni Mungu bwana unaupeo mdogo sana wa kufikiria🤣🤣
 
Back
Top Bottom