Maajabu ya baadhi ya makanisa: Wapo radhi kumwabudu na kumheshimu Mwamposa lakini siyo Bikira Maria kama vile alifanya kosa kubwa sana kumzaa Yesu

Maajabu ya baadhi ya makanisa: Wapo radhi kumwabudu na kumheshimu Mwamposa lakini siyo Bikira Maria kama vile alifanya kosa kubwa sana kumzaa Yesu

Exactly. Then pay respect to virgon mary you will be in a good position
Mimi nimelelewa kwenye ukatoliki nina maswali kadhaa Je Maria anastahili kupewa sifa? Kama hastahili kwa nini kwenye ubeti wa tano wa wimbo wa ATUKUZWE MUNGU WETU POTE DAIMA amewekewa apewe sifa? wakati sifa na utukufu vipo reserved for God and His Christ only?
 
Taja mtoto wa bikra maria hata mmoja mbali na yesu pekee.
Halafu ataje hilo kaburi la B.maria liko wapi hadi leo. Na asitudanganye eti limeharibiwa na maroketi ya Hizbullah au HAMAS.
 
Kwahiyo mnavyosema kwenye Sala " Bikra Mariam awaombee ninyi wakosefu" pale Huwa mnafanya nini?
Hata wewe unaweza kuniombea wala nikikutaja uniombee sijafanya kosa. Mambi yako yanaweza kuwa ngao kwa mwingine. Sasa wewe kama unaweza kumuombea mtu sembuse mtu aliyemzaa yesu. Si atakuwa zaidi ya hapo
 
This is too contradictory.

Wanaojiita walikole wakiongozwa na KKKT wako radhi kumwabudu au kumheshimu mchungaji wao na kumuona Bikira Maria si chochote wala lolote. Naona hata yesu huwa anawashaa sana.

Bikira Maria kwao wanamuona kama bahasha iliyokuwa ndani ina barua. Baada ya kuitoa barua basi bahasha ile inatupw na kuonekana takataka. Hivi ndivyo wanavyomuona Bikira maria.

Huu ni upumbavu wa hali ya juu sana. Hata leo ikitokea Yesu akarudi duniani wako radhi kumkana na kusema mwamposa ndo yesu wao.

Hivi anachofanya Mwamposa kina tofauti gani ni mazingaombwe ya hapo awali yaliyokuwa yanafanywa mashuleni kama power mabula nk au utabili wa hali ya hewa.
Bikira Maria alikuwa mama wa Yesu, lakini hausiki chochote na ufalme wa Mungu, na alikuwa mwanafunzi wa Yesu kama wengine tulivyo, ulitaka iweje kuhusu Bikira Mariamu aabudiwe kama mnavyofanya? awaombee kwa Yesu ili hali mnadirect access kwa Yesu mwenyewe?
 
Kwahiyo mnavyosema kwenye Sala " Bikra Mariam awaombee ninyi wakosefu" pale Huwa mnafanya nini?
Mtumishi kondoo wakija kwako uwaombee , wanakuwa wanakuabudu ?
 
Yesu siyo mwanadamu plz. Yesu ni mungu
We jamaa hata Bible huijui yesu si Mungu wala mwana wa Mungu.
Ushahidi
Mathayo 26:61-64
Hata baadaye wawili wakatokea, wakasema, Huyu alisema, Naweza kulivunja hekalu la Mungu, na kulijenga kwa siku tatu.
Kisha Kuhani Mkuu akasimama akamwambia, Hujibu neno? Hawa wanakushuhudia nini?
Lakini, Yesu akanyamaza. Kuhani Mkuu akamwambia, Nakuapisha kwa Mungu aliye hai, utuambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu.
Yesu akamwambia, Wewe umesema; lakini nawaambieni, Tangu sasa mtamwona Mwana wa Adamu ameketi mkono wa kuume wa nguvu, akija juu ya mawingu ya mbinguni.
 
Mimi nimelelewa kwenye ukatoliki nina maswali kadhaa Je Maria anastahili kupewa sifa? Kama hastahili kwa nini kwenye ubeti wa tano wa wimbo wa ATUKUZWE MUNGU WETU POTE DAIMA amewekewa apewe sifa? wakati sifa na utukufu vipo reserved for God and His Christ only?
Imeandikwa kuwa bikra maria ni mama wangu na alipomtembelea elizabeth kitoto kichanga kiliruka ruka ndani ya tumbo lake kimaanisha bikra maria hakuwa w kawaida. Ndo mana elizabeth alisema imekuwaje mama wa bwana wangu anijilie mimi.
 
Hata wewe unaweza kuniombea wala nikikutaja uniombee sijafanya kosa. Mambi yako yanaweza kuwa ngao kwa mwingine. Sasa wewe kama unaweza kumuombea mtu sembuse mtu aliyemzaa yesu. Si atakuwa zaidi ya hapo
Maria hawezi kuwaombea kwa Mungu ila Kristo ambaye ni mpatanishi kati ya wanadamu na Mungu ndiye mwenye uwezo huo.
 
Mimi nimelelewa kwenye ukatoliki nina maswali kadhaa Je Maria anastahili kupewa sifa? Kama hastahili kwa nini kwenye ubeti wa tano wa wimbo wa ATUKUZWE MUNGU WETU POTE DAIMA amewekewa apewe sifa? wakati sifa na utukufu vipo reserved for God and His Christ only?
sababu za kupewa sifa ziwe zipi?
 
Maria hawezi kuwaombea kwa Mungu ila Kristo ambaye ni mpatanishi kati ya wanadamu na Mungu ndiye mwenye uwezo huo.
Mbona mwamposa huwa anawaombea sana. Au mwamposa ni zaidi ya Bikra maria
 
Huwajui walokole wewe. Hawataki kabisa kusikia habari ya Bikira Maria. Ukitaka kujua hilo, sikiliza mahubiri yao yote uone kama kuna siku watamtaja Bikira Maria. Wakifikia hapo huwa wanazima data
Bikira huvunjika kwa pande mbili moja kwa kuingiliwa na mwanaume bikira huondoka

Ya pili bikira huondoka kwa kuzaa Mwanamke akizaa pale anapotokea mtoto bikira huondoka

Maria bikira yake iliondoka kwa kuzaa Yesu sababu ile mimba haikuwa ya binadamu

Sasa kama alizaa na bikira ikaondoka kanisa katoliki linapata ujasiri wapi wa kuendelea kumuita Bikira Maria kama sio utapeli.Huo utapeli makanisa mengine ndio waliugomea ndio masna huwezi kusikia wakisema Bikira Maria mama Mungu au wa Yesu.Husema tu Maria mama yake Yesu Sababu wana uelewa mkubwa kuliko wakatoliki
Bikira ni mwanamke mwenye bikira
Maria Mama yake Yesu bikira ilitoka alipozaa Yesu
 
Bikira Maria alikuwa mama wa Yesu, lakini hausiki chochote na ufalme wa Mungu, na alikuwa mwanafunzi wa Yesu kama wengine tulivyo, ulitaka iweje kuhusu Bikira Mariamu aabudiwe kama mnavyofanya? awaombee kwa Yesu ili hali mnadirect access kwa Yesu mwenyewe?
Jamani hakuna anayemuabudu bikra maria. Hebu tumieni akili basi hata za darasa la kwanza
 
We jamaa hata Bible huijui yesu si Mungu wala mwana wa Mungu.
Ushahidi
Mathayo 26:61-64
Hata baadaye wawili wakatokea, wakasema, Huyu alisema, Naweza kulivunja hekalu la Mungu, na kulijenga kwa siku tatu.
Kisha Kuhani Mkuu akasimama akamwambia, Hujibu neno? Hawa wanakushuhudia nini?
Lakini, Yesu akanyamaza. Kuhani Mkuu akamwambia, Nakuapisha kwa Mungu aliye hai, utuambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu.
Yesu akamwambia, Wewe umesema; lakini nawaambieni, Tangu sasa mtamwona Mwana wa Adamu ameketi mkono wa kuume wa nguvu, akija juu ya mawingu ya mbinguni.
Mbona kwenye kesi yake hapa duniani Yesu hakukataa popote kwamba yeye sio mwana wa Mungu. Aliwaonesha vitu ambavyo kwa macho yao ya kibinadamu wasingekaa waelewe. Ufalme wake sio wa dunia hii. Lait ungekua ufalme wa dunia hii asingekuja kama mtoto mdogo. Ufalme wake ni wa Mbinguni. Kule atawala kama mwana wa Adam, atakuja na mawingu ya mbinguni kuuchukua ufamle wa dunia hii.Hakujikana popote.
 
Bikira huvunjika kwa pande mbili moja kwa kuingiliwa na mwanaume bikira huondoka

Ya pili bikira huondoka kwa kuzaa Mwanamke akizaa pale anapotokea mtoto bikira huondoka

Maria bikira yake iliondoka kwa kuzaa Yesu sababu ile mimba haikuwa ya binadamu

Sasa kama alizaa na bikira ikaondoka kanisa katoliki linapata ujasiri wapi wa kuendelea kumuita Bikira Maria kama sio utapeli.Huo utapeli makanisa mengine ndio waliugomea ndio masna huwezi kusikia wakisema Bikira Maria mama Mungu au wa Yesu.Husema tu Maria mama yake Yesu Sababu wana uelewa mkubwa kuliko wakatoliki
Bikira ni mwanamke mwenye bikira
Maria Mama yake Yesu bikira ilitoka alipozaa Yesu
Alizaa kwa uwezo wa roho mtakatifu so theoretically bado ni bikra.
 
Nitakujibu kibinadamu kabisa.
Je, Bikira Maria yuko hai?
Yesu tunamtukuza kwakuwa yuko hai, maandiko na Roho vinashuhudia.
Mtu yeyote akifa lake limekwisha.
Kale kamstari kamoja kwenye Luka Mt. ndiko kanawafanya mumwabudu Maria?
 
Nitakujibu kibinadamu kabisa.
Je, Bikira Maria yuko hai?
Yesu tunamtukuza kwakuwa yuko hai, maandiko na Roho vinashuhudia.
Mtu yeyote akifa lake limekwisha.
Kale kamstari kamoja kwenye Luka Mt. ndiko kanawafanya mumwabudu Maria?
Nani alikwambia bikra maria alikufa? Kumbuka kifo ni matokeo ya dhambi na bikra maria hakuwa na dhmbi ndo mana akamzaa yesu. Nuru na giza havichangamani. Dhambi ni giza
 
Mtumishi kondoo wakija kwako uwaombee , wanakuwa wanakuabudu ?
Mimi ni hai, na ninawaombea Kwa Mungu aliye hai Yesu Kristo aliyefufuka.

Wapi pameandikwa tuombe Kwa Jina la Mariam?
 
Back
Top Bottom