Hapo kwenue "Duma ndo Cheetah" sijaelewa.naomba ufafanuzi na picha ikibidiDuma ndo cheetah, Leopard ni chui , Jaguar hawa wanapatikana Sana Asia na ni wakubwa kuliko chui, Tiger hawa wanapatikana Sana America , ni wakubwa kuliko jaguar na madoa makubwa ya njano na ni wanene , wote ni jamii ya paka, katika wote hao muoga ni Duma
Ndege aitwae falcon peregrin naskia ndie anayekimbia kuliko wote porini
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hicho chanzo chako kinasema uongo, pelegrine falcon ndiye anaongoza
[emoji23][emoji23][emoji23]kuna picha moja anaondoka na kisichana kwa kutumia mkia.Huyu ni mnyama mlevi, Kuna mwaka alidhamini Taifa Stars
Hapo kwenue "Duma ndo Cheetah" sijaelewa.naomba ufafanuzi na picha ikibidi
Umechanganya Tiger ndo wako AsiaDuma ndo cheetah, Leopard ni chui , Jaguar hawa wanapatikana Sana Asia na ni wakubwa kuliko chui, Tiger hawa wanapatikana Sana America , ni wakubwa kuliko jaguar na madoa makubwa ya njano na ni wanene , wote ni jamii ya paka, katika wote hao muoga ni Duma
Hicho chanzo chako kinasema uongo, pelegrine falcon ndiye anaongoza
Kumbe pia ana KAUMA'R'AYA!!!!!!!mkorinto said:[emoji23][emoji23][emoji23]kuna picha moja anaondoka na kisichana kwa kutumia mkia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mnyama ndiye anayeongoza kwa uwindaji porini,huwa anakula myama anayemtaka huwa anachagua kwenye kundi na humkimbikiza hadi atakapomkanata
Sorry unajuwa bado sijajua kutumia vuzuri huu mtandao, nilitaka kuongeza picha ya nde ivi sasa nikagundua picha hijafika ndipo nijaona repy yangu niifute, pia hata hivyo sina uhakika kama nimefuta yangu tu ama na ile nilokuwa naireplyMbona nahisi wewe ndie uliyekurupuka kumkosoa mwenzako? Pelegrine Falcon yupo class ipi ya wanyama? Sio ndege?
Sent from my iPhone using Tapatalk Pro
Ni cheeter naongelea mkuu ndio huwa anakimbiza mnyama kwa muda mrefu tofauti na simba,simba huwa anavizia na kukamata na sio kufukuza kama duma,hapo aliposema huwa hakimbizi zaidi ya mita 300 sjaelewa mwandishi alimaanisha nini,mimi kwa nimjuavyo huyu mnyama ni noma sana porini ana uwezo wa kukimbia siku nzima bila kupumzikaHapo itakuwa unamuongelea Simba, Duma hapendi kujichosha sana ndio maana hata mleta uzi amelibainisha hilo kuwa cheetah hakimbizi windo lake zaidi ya mita 300.
Sent from my iPhone using Tapatalk Pro
Nadhani kosa ni wadau kutokufafanua,ingesemwa “ndiye mnyama wa ardhini mwenye speed kuliko wote”,huyu ndege akajulikana mnyama mwenye speed kuliko wote wanaoruka.Ni kweli kipanga ndiyo anaongoza, watu wenye akili tukikaa kimya uongo huu utaaminika
.......................Mkuu siku nzima anakimbiza nini bro...analipwa ndo useme anakimbilia sifa?hakuna mnyama fala atakimbiza windo lake kwa lot of kilometers wakati humo porini wapo wengine kwa ajili yake.Ni
Ni cheeter naongelea mkuu ndio huwa anakimbiza mnyama kwa muda mrefu tofauti na simba,simba huwa anavizia na kukamata na sio kufukuza kama duma,hapo aliposema huwa hakimbizi zaidi ya mita 300 sjaelewa mwandishi alimaanisha nini,mimi kwa nimjuavyo huyu mnyama ni noma sana porini ana uwezo wa kukimbia siku nzima bila kupumzika
Nadhani kosa ni wadau kutokufafanua,ingesemwa “ndiye mnyama wa ardhini mwenye speed kuliko wote”,huyu ndege akajulikana mnyama mwenye speed kuliko wote wanaoruka.
Pia imekuwa ikisemwa nyoka aina ya Black Mamba naye ana mbio kali pale so shida ni ufafanuzi tu hakuna uwongo wowote hapo.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Mkuu privacyHapana wewe ndie hujataka tuu kuelewa au umeelewa ila hujataka kukiri kwamba umekosea. Au labda utusaidie mnyama arukae mwingine ni yupi tofauti na popo
Sent from my iPhone using Tapatalk Pro
Cheetah ni kingereza Kwa Kiswahili huyo cheetah anaitwa Duma kuhusu picha Google mkuuHapo kwenue "Duma ndo Cheetah" sijaelewa.naomba ufafanuzi na picha ikibidi
Unazungumzia wanyama au ndege?Hicho chanzo chako kinasema uongo, pelegrine falcon ndiye anaongoza