Maajabu ya Corona Tanzania: Badala ya Madaktari Bingwa wa tiba kuliokoa Taifa, ni Bingwa wa Kemia ndiye analiokoa Taifa kwa ushauri wa kikemia

Sasa kama bunge zima wanapuliziwa dawa ya kuuwa virusi vya Corona wakati dawa bado haijagunduliwa wewe huoni maajabu hapo?

cc: Mwanakijiji
 
Inauma sana madaktari na manes wapo kazini wanapambana katika mzingira ya hatari sana kwao na kwa familia zao laikin badala wapewe kipao mbele kwenye kipindi hiki wanasiasa bado wana leta siasa zao.....

Kwakua wako safe wao na familia zao basi , ni kujizolea umaarufu tu kwenye midia......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasahau alituambia Tanzania ni nchi tajiri. Leo analia tufutiwe madeni. Watu wasikae karantine kisa hakuna pesa za kuwahudumia.
 


🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamani nimepitwa na hii🤣🤣🤣 ningecheka balaa🤣🤣🤣
 
Hahahhahah!

Kwanza, Bingwa wa kemia lengo lake kubwa ni mapato hajali kuhusu COVID-19.Tupambane na hali zetu wakuu.

Pili, amewadharau sana Madaktari bingwa na kada zao kwa ujumla kwa sababu hafuati ushauri wao. Lengo la kuwa Daktari bingwa ni nini? hivi mnaweza kuchukua hata dakika moja kuwaza ni jinsi gani huyu mkemia mkuu anawadharau na kuwadogoshya?

Tatu, jambo la afya ni juu yako na linakuhusu wewe tu mwanaJF na familia yako. Ukisubiri serikali/ mwanakemia mkuu ndiyo akupe mbinu za kujikinga na Korona utapotea mapema na haraka sana.
 
Ndio Raha ya mtu kuingia darasani,ukiona mtoto wa masikini kafika top level jua anaweza(nitamchagua Tena mkemia),hakurupuki,anasynthesize data,reasoning,conclusion,baba magu shikamooooo,
 
Wote tumesikiliza hiyo hotuba, kasema pamoja na njia zinazoshauriwa na watalamu lkn pia tutumie njia za asili ikiwemo hiyo kujifukiza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…