Afadhali hao wawili wa Yanga kuliko huku kwingine ambapo wote ni mbu3..
France alitolewa baada ya kucheza mechi yake ya tatu ya kundi na kufungwa 2-0 dhidi ya Denmak.
Ilikuwa hivi mechi ya kwanza Senegal 1-0 France
Mechi ya pili uruguay 0-0 France
Na mechi ya tatu ambapo kama France wangeshinda walikua wanaenda 16 Bora ndio wakafungwa.
Ila Simba mechi yake ya kwanza tu kafungwa and at the same time katolewa mashindanoni huoni tofauti hapo we kilaza????