Maajabu ya Dunia: Bingwa mtetezi kutolewa mashindanoni baada ya kucheza dakika 90 tu za mechi yake ya kwanza ya mashindano

Poleni sana. Sasa mwaka huu mtaondoka na kombe lipi[emoji848][emoji848]?? Miaka inasonga kimasihara huku mkiendelea na porojo zenu za kimataifa[emoji1][emoji1][emoji1]
Kwani ni uongo hatupo katika Team 16 bora zinazocheza CL.Nyinyi bakini na vimalengo vyenu vya 'ubingwa' wa Ndondo Cup ya Zanzibar [emoji3]
 
Kwani group la Simba lilikuwa na timu 4? Ujinga ni mzigo sana. Halafu mnacheza lini Nusu Fainali ya Mapinduzi Cup?
 
Haya mleta Uzi njoo utuambie Uto wapo wapi sasa na kwanini wametoka mashindanoni na Mnyama yupo wapi muda huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…