Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Kwani ni uongo hatupo katika Team 16 bora zinazocheza CL.Nyinyi bakini na vimalengo vyenu vya 'ubingwa' wa Ndondo Cup ya Zanzibar [emoji3]Poleni sana. Sasa mwaka huu mtaondoka na kombe lipi[emoji848][emoji848]?? Miaka inasonga kimasihara huku mkiendelea na porojo zenu za kimataifa[emoji1][emoji1][emoji1]