hypothalamus
Senior Member
- Feb 19, 2018
- 126
- 153
Unaweza kufikiria ilikuwaje mtu ambae hajawahi kuishi kupata mtoto?
Familia moja huko marekani ilipata mtoto na baba alipoamua kufanya kipimo cha DNA majibu yalimshangaza
Hakuwa baba wa mtoto
Familia iliamua kufanya kipimo maalumu cha 23andMe na matokeo yaliwashangaza zaidi
Baba halali wa mtoto alikuwa ndugu wa kiume wa baba anaetambulika
Hii ilikuwa haileti sense yoyote kwa sababu mtoto alipatikana kwa njia ya Vitro Fertilization ambapo mtoto hutengenezwa kwa kurutubisha mayai ya mama na manii za baba nje ya mwili kwenye kifaa maalumu kinachoitwa Vitro
Baba anaetambulika alipojua hili mtazamo wake kuhusu yeye ni nani kama mtu ulibadiliki, na alipofanya uchunguzi zaidi.....
Aligundua yeye ni Chimera Human, Chimera human ni binadamu anaebeba pair mbili za DNA, ni sawa na kusema wanakuw watu wawili ndani ya mtu mmoja
Baba anaetambulika alipokuwa tumboni wakati wa hatua za mwanzo kabisa za utungaji wa ujauzito alikuwa na pacha wasio fanana, pacha wake ambae pia alikuwa wa kiume alifariki na yeye alinyonya asilimia 10 ya DNA cell za pacha wake huyo,kwa hiyo ndani ya mwili wake alibeba asilimia 10 ya DNA ambazo si za kwake
Cha kushangaza mtoto alirithi asilimia 10 tu za DNA za pacha wa baba yake na hakurithi ata asilimia 1 ya DNA za baba anaetambulika
Kibaiolojia mtu ambae hajawahi hata kuishi aliweza kupata mtoto
Familia moja huko marekani ilipata mtoto na baba alipoamua kufanya kipimo cha DNA majibu yalimshangaza
Hakuwa baba wa mtoto
Familia iliamua kufanya kipimo maalumu cha 23andMe na matokeo yaliwashangaza zaidi
Baba halali wa mtoto alikuwa ndugu wa kiume wa baba anaetambulika
Hii ilikuwa haileti sense yoyote kwa sababu mtoto alipatikana kwa njia ya Vitro Fertilization ambapo mtoto hutengenezwa kwa kurutubisha mayai ya mama na manii za baba nje ya mwili kwenye kifaa maalumu kinachoitwa Vitro
Baba anaetambulika alipojua hili mtazamo wake kuhusu yeye ni nani kama mtu ulibadiliki, na alipofanya uchunguzi zaidi.....
Aligundua yeye ni Chimera Human, Chimera human ni binadamu anaebeba pair mbili za DNA, ni sawa na kusema wanakuw watu wawili ndani ya mtu mmoja
Baba anaetambulika alipokuwa tumboni wakati wa hatua za mwanzo kabisa za utungaji wa ujauzito alikuwa na pacha wasio fanana, pacha wake ambae pia alikuwa wa kiume alifariki na yeye alinyonya asilimia 10 ya DNA cell za pacha wake huyo,kwa hiyo ndani ya mwili wake alibeba asilimia 10 ya DNA ambazo si za kwake
Cha kushangaza mtoto alirithi asilimia 10 tu za DNA za pacha wa baba yake na hakurithi ata asilimia 1 ya DNA za baba anaetambulika
Kibaiolojia mtu ambae hajawahi hata kuishi aliweza kupata mtoto