KijanaHuru
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,822
- 2,320
- Thread starter
- #61
sawa mtoto na maoni yako karibu tenaHamna kitu hapa,stori za kitoto hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa mtoto na maoni yako karibu tenaHamna kitu hapa,stori za kitoto hizi
Sawa mkuu!Kuhusu kuona wachawi nitofauti na mada yangu hapo juu lakini ukichukua pia mate ya mbwa ukajipa katika paji la uso basi utayoyaona uwe na roho ngumu
Ukishayapata hayo mafuta
Basi nenda kanunue pea mpya kabisa ya viatu hata ikiwa ni sendal sawa ila vyema vle vyakufunga kabisaaa..
nenda zile sehemu za mkusanyiko unaokaa ndani.
Mfano
Shuleni kanisani msikitini nk
paka mafuta katika viatu vyako kisha ingia ndani ya hilo jengo
Mkisha maliza taratibu zenu zakila siku hapo kama ibada masomo nk
Mnapotoka nje wewe usitoke nje bakia hapohapo umekaa jisikilizie uone maajabu ya mwaka
Sitaki kudanganywa na pia sipendi watu wadanganyweKuna mtu amekulazimisha kuwa ukubali?
Asantesawa mtoto na maoni yako karibu tena
ha ha ha ha ndio mtakuwa mnasaidianaPadre akiona hujatoka atakuelewaje?
Sasa kuna mtu amekuita hapa?Sitaki kudanganywa na pia sipendi watu wadanganywe
Sina mambo mengine ya msingi zaidi ya kufuatilia nyuzi km zako,kisha kuupinga uongo hadharani.Sasa kuna mtu amekuita hapa?
au kuna mtu amesema nilazima uamini kinachoongelewa hapa?
Mbona unajipa kazi isiyo kazi ndugu? huu mda uanbishana hapa katika mambo usiyoyaamini wala kuyajua ulitosha sana kuutumia kwenye mambo yako ya msingi
haya leta hoja kuthibitisha haya ni uongoSina mambo mengine ya msingi zaidi ya kufuatilia nyuzi km zako,kisha kuupinga uongo hadharani.
unakaza tu kama haujuiDuh !!
hapana kwakeli nisije muona my husband buree😅 sipendi sapraizi mimi