Maajabu ya Israel (Taifa lipo katikati ya dunia )

Maajabu ya Israel (Taifa lipo katikati ya dunia )

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Taifa la Israel lipo katikati ya dunia kigeographia.

Ni karibu kwenda Asia, Africa, Europe.

Mungu alichaguwa eneo hili ili litumike kwa ajili ya kueneza habari zake

Ilikuwa rahisi kuleta injili Africa, Asia na Europe. Mungu ni fundi

Wapagani kama kawaida yao watabisha
 
The universe and Earth do not have a center, but there are other places that have been considered the center of the world:
  • The universe
    According to standard cosmological theories, the universe has no center or edge. The Big Bang occurred about 14 billion years ago, and the universe has been expanding ever since, with no center to the expansion.












  • The Earth
    The geographical center of the Earth is the point on the surface where the sum of distances to all land locations is the smallest. The "anti-center" of the Earth is the point with the greatest average distance to all land areas, and is located in the South Pacific.











  • The Middle of the World
    Located near Quito, Ecuador, the Middle of the World sits at 0° latitude, which is the precise location of the equator.






  • The omphalos
    In ancient Greece, the omphalos, or navel, of the world was a beehive-shaped stone at the ruins of Delphi.






  • Other candidates
    Other places that have been considered the center of the world include the Great Pyramid of Giza, the holy city of Mecca, and Cuzco, the ancient capital of Peru.
 
Taifa la Israel lipo katikati ya dunia kigeographia.

Ni karibu kwenda Asia, Africa, Europe.

Mungu alichaguwa eneo hili ili litumike kwa ajili ya kueneza habari zake

Ilikuwa rahisi kuleta injili Africa, Asia na Europe. Mungu ni fundi

Wapagani kama kawaida yao watabisha
Hakika hilo ni taifa teule la Mungu
 
Kila sehemu ni katikati mwa dunia mkuu..
... msome vizuri mleta mada; "kueneza habari zake". Habari zake hazienezwi baharini but to human population. So, center in the context of ease of reaching the world population.

Taifa teule lingekuwa New Zealand probably, mpaka Leo Injili isingekuwa imeenea duniani.
 
Taifa la Israel lipo katikati ya dunia kigeographia.

Ni karibu kwenda Asia, Africa, Europe.

Mungu alichaguwa eneo hili ili litumike kwa ajili ya kueneza habari zake

Ilikuwa rahisi kuleta injili Africa, Asia na Europe. Mungu ni fundi

Wapagani kama kawaida yao watabisha
Mimi nilijua ni pale inapokutana Greenwich na Equator
 
Taifa la Israel lipo katikati ya dunia kigeographia.

Ni karibu kwenda Asia, Africa, Europe.

Mungu alichaguwa eneo hili ili litumike kwa ajili ya kueneza habari zake

Ilikuwa rahisi kuleta injili Africa, Asia na Europe. Mungu ni fundi

Wapagani kama kawaida yao watabisha
Umesikia kuwa mecca ni katikati ya Dunia ukapata wivu ukaja na theory's ya Israel ni katikati ya Dunia, pale mecca ni patakatifu Pana historia nyingi Sana za kuvutia
 
Taifa la Israel lipo katikati ya dunia kigeographia.

Ni karibu kwenda Asia, Africa, Europe.

Mungu alichaguwa eneo hili ili litumike kwa ajili ya kueneza habari zake

Ilikuwa rahisi kuleta injili Africa, Asia na Europe. Mungu ni fundi

Wapagani kama kawaida yao watabisha


Kila nchi ina maajabu yake, unajua maajabu ya nchi yako Tanzania?
 
Umesikia kuwa mecca ni katikati ya Dunia ukapata wivu ukaja na theory's ya Israel ni katikati ya Dunia, pale mecca ni patakatifu Pana historia nyingi Sana za kuvutia
Mecca wamelala manabii wangapi pale? Hata Mtume hayupo pale. Israel ni "shamba" la manabii watakatifu wa Mungu.
 
Taifa la Israel lipo katikati ya dunia kigeographia.

Ni karibu kwenda Asia, Africa, Europe.

Mungu alichaguwa eneo hili ili litumike kwa ajili ya kueneza habari zake

Ilikuwa rahisi kuleta injili Africa, Asia na Europe. Mungu ni fundi

Wapagani kama kawaida yao watabisha
Babu wa Loliondona yeye alisema pale ndio katilati ya dunia....
 
Mungu alishindwa kuwapa knowledge watu since birth hadi kuhitaji mtu kuwaelewesha watu by proxy ?....,

Yaani hao aliowapa kazi ya kutoa habari zake alishindwa kufikisha hizo habari directly ? Na kama wote source ilikuwa moja ilikuwaje wengine wakasahau mpaka wakumbushwe hizo habari ?
 
Kwa hawa flat earthers kina DR Mambo Jambo hawaamini hivyo!
Hahaha Earth is Flat with Dome tumedanganywa sana..

Ndo nilishtuka Juzi kuna mtu alipost Jf hapa Eti Kuna Mtu aliwahi kwenda Mars Nikasema Huko Kwenye Mwezi tu Kuna Utata..

Leo Waende Mars si watajisifu 😂😂😂
 
Hahaha Earth is Flat with Dome tumedanganywa sana..

Ndo nilishtuka Juzi kuna mtu alipost Jf hapa Eti Kuna Mtu aliwahi kwenda Mars Nikasema Huko Kwenye Mwezi tu Kuna Utata..

Leo Waende Mars si watajisifu 😂😂😂
Kwa hiyo mkuu picha zinazopigwa na NASA kutokea nje ya dunia zinazoonyesha dunia ni duara ni maigizo tu??
 
Kwa hiyo mkui picha zinazopigwa na NASA kutokea nje ya dunia zinazoonyesha dunia ni duara ni maigizo tu??
Nasa Gani mkuu hawa Wanaoshtumiwa na Vitu Vingi sana Ikiwemo kutumia Area 51 Kufake Moon landing Kwani bado mnawaamini NASA??

Picha za Nasa Zinazo Onyesha Dunia ni Duara Zinaonyesha Ramani, tena kwa bahati mbaya kabisa Ramani ambayo imekuwa Projected Mwaka 1594, Ikiitwa "The Mercator Projection" . Ambayo Imetengenezwa na Gerardus Mercator..

Sasa Unashangaa Gerardus Mercator Mwaka huo kipindi anachora Ramani hakwenda mwezini wala Kwenye jua 😂😂 na wala Hakukuwa na Advance Technology na Alichora Hiyo Ramani tunayotumia Mpaka leo..

Cha Kushangaza Nasa Imeanzishwa July 29, 1958..
Ila wanatumia Ramani ya Gerardus mercator ya mwka 1594 ambaye Kipindi anaichora Hakukuwa na Ndege wala Helcopter (Maana ndege imegunduliwa mwaka 1903 na Wright brothers na wakati Huo ikiitwa Wright Flyer, Na bila kusahau Rocket ya Kwanza Imezinduliwa Mwaka 1926 na Robert H. Goddard...)

Wakati wakianza Kuwadanganya wapeni Facts..

Msiogope..

Sasa Nataka Uniambie Kati ya Mzee wa Zamani Gerardus Mercator ambaye alichora ramani akiwa Kwenye Boma lake kwa Kuwaza tu....

Ikumbukwe hata Sattelite ya Kwanza inasadikiwa Kurushwa October 4, 1957, iliyokuwa Ikiitwa Sputnik I

Sasa Hebu niambie huyo Mzee wa Kwanza kuchora Dunia Kwa Umbo la Duara Yeye Alikuwa Amekaa Wapi wakati hakukuwa na vifaa vyovyote vya Kuthibitisha Madai yake

Na NASA ambao Wanatumia Vifaa (Kama wanavyojinasibu) umewahi kuona Ramani nyingine ikiikosoa Ramani ya Mercator Projection hata kwa Longitudinal tu au Latitude?

Tutumie Akili Tulizopewa Sio kila kitu tunadanganywa
 
MUNGU yupi? maana Miungu ni wengi. Sema ni rahissi kuleta habari za Mungu wa Israeli; maana China wana Mungu wao, Wahindi wana Mungu wao, SingaSinga wana Mungu wao na Afrika ilikuwa na Mungu wake kabla ya kuwa watumwa wa miungu ya wengine.
Taifa la Israel lipo katikati ya dunia kigeographia.

Ni karibu kwenda Asia, Africa, Europe.

Mungu alichaguwa eneo hili ili litumike kwa ajili ya kueneza habari zake

Ilikuwa rahisi kuleta injili Africa, Asia na Europe. Mungu ni fundi

Wapagani kama kawaida yao watabisha
 
Back
Top Bottom