Mbona una hasira? Umetoka kabisa nje ya mada, chifu!Kila sehemu ni katikati mwa dunia mkuu..
Kwa hawa flat earthers kina DR Mambo Jambo hawaamini hivyo!Kila sehemu ni katikati mwa dunia mkuu..
Hakika hilo ni taifa teule la MunguTaifa la Israel lipo katikati ya dunia kigeographia.
Ni karibu kwenda Asia, Africa, Europe.
Mungu alichaguwa eneo hili ili litumike kwa ajili ya kueneza habari zake
Ilikuwa rahisi kuleta injili Africa, Asia na Europe. Mungu ni fundi
Wapagani kama kawaida yao watabisha
... msome vizuri mleta mada; "kueneza habari zake". Habari zake hazienezwi baharini but to human population. So, center in the context of ease of reaching the world population.Kila sehemu ni katikati mwa dunia mkuu..
Mimi nilijua ni pale inapokutana Greenwich na EquatorTaifa la Israel lipo katikati ya dunia kigeographia.
Ni karibu kwenda Asia, Africa, Europe.
Mungu alichaguwa eneo hili ili litumike kwa ajili ya kueneza habari zake
Ilikuwa rahisi kuleta injili Africa, Asia na Europe. Mungu ni fundi
Wapagani kama kawaida yao watabisha
Umesikia kuwa mecca ni katikati ya Dunia ukapata wivu ukaja na theory's ya Israel ni katikati ya Dunia, pale mecca ni patakatifu Pana historia nyingi Sana za kuvutiaTaifa la Israel lipo katikati ya dunia kigeographia.
Ni karibu kwenda Asia, Africa, Europe.
Mungu alichaguwa eneo hili ili litumike kwa ajili ya kueneza habari zake
Ilikuwa rahisi kuleta injili Africa, Asia na Europe. Mungu ni fundi
Wapagani kama kawaida yao watabisha
Umeamua kuongeza chai nyingineUmesikia kuwa mecca ni katikati ya Dunia ukapata wivu ukaja na theory's ya Israel ni katikati ya Dunia, pale mecca ni patakatifu Pana historia nyingi Sana za kuvutia
Taifa la Israel lipo katikati ya dunia kigeographia.
Ni karibu kwenda Asia, Africa, Europe.
Mungu alichaguwa eneo hili ili litumike kwa ajili ya kueneza habari zake
Ilikuwa rahisi kuleta injili Africa, Asia na Europe. Mungu ni fundi
Wapagani kama kawaida yao watabisha
Mecca wamelala manabii wangapi pale? Hata Mtume hayupo pale. Israel ni "shamba" la manabii watakatifu wa Mungu.Umesikia kuwa mecca ni katikati ya Dunia ukapata wivu ukaja na theory's ya Israel ni katikati ya Dunia, pale mecca ni patakatifu Pana historia nyingi Sana za kuvutia
Babu wa Loliondona yeye alisema pale ndio katilati ya dunia....Taifa la Israel lipo katikati ya dunia kigeographia.
Ni karibu kwenda Asia, Africa, Europe.
Mungu alichaguwa eneo hili ili litumike kwa ajili ya kueneza habari zake
Ilikuwa rahisi kuleta injili Africa, Asia na Europe. Mungu ni fundi
Wapagani kama kawaida yao watabisha
Hahaha Earth is Flat with Dome tumedanganywa sana..Kwa hawa flat earthers kina DR Mambo Jambo hawaamini hivyo!
Kwa hiyo mkuu picha zinazopigwa na NASA kutokea nje ya dunia zinazoonyesha dunia ni duara ni maigizo tu??Hahaha Earth is Flat with Dome tumedanganywa sana..
Ndo nilishtuka Juzi kuna mtu alipost Jf hapa Eti Kuna Mtu aliwahi kwenda Mars Nikasema Huko Kwenye Mwezi tu Kuna Utata..
Leo Waende Mars si watajisifu πππ
Nasa Gani mkuu hawa Wanaoshtumiwa na Vitu Vingi sana Ikiwemo kutumia Area 51 Kufake Moon landing Kwani bado mnawaamini NASA??Kwa hiyo mkui picha zinazopigwa na NASA kutokea nje ya dunia zinazoonyesha dunia ni duara ni maigizo tu??
Taifa la Israel lipo katikati ya dunia kigeographia.
Ni karibu kwenda Asia, Africa, Europe.
Mungu alichaguwa eneo hili ili litumike kwa ajili ya kueneza habari zake
Ilikuwa rahisi kuleta injili Africa, Asia na Europe. Mungu ni fundi
Wapagani kama kawaida yao watabisha
π― Kutegemea reference point, otherwise labda Dunia ni kama sahani..Kila sehemu ni katikati mwa dunia mkuu..