Maajabu ya kaburi linalotoa moto, watu wanashangaa hawana kitu cha kufanya

Maajabu ya kaburi linalotoa moto, watu wanashangaa hawana kitu cha kufanya

Nahisi kama wsombolezaji hawashangai hapo. Inawezekana marehemu aliomba mwili wake uchomwe moto ndani ya kaburi kabla hawajaweka zege juu
 
Mods tufikirieni watumiaji wa app kwenye suala la kuplay videos kwa urahisi lazima mkubali kwamba si kila mtu anapenda kutumia browser msitukomoe jamani
Mie haitoi ssuti na zile punctuation edits zimefreeze kabisaa...
 
Mbna issue kama ipo well organized au ni maigizo, cement kokoto madumu ya maji yanafanya nn hapo
 
Hiyo ni ishara hapo kuna Gass na Mafuta,fukua mwili tupa kule anza kuchimba Gass
 
Hapo itakua wamekutana na mwamba korofi wakati wa uchimbaji so wanauchoma moto ulainike waendelee kuchimba
 
Back
Top Bottom