Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukweli ni kwamba KIU ni kimeo,wote wengi wanaosoma pale ni magharasa.kuna jamaa yangu yupo kozi pale ya conflict resolution and peace building,yeye yupo full time, lakini muda mwingi yupo South Afrika Kikazi na akirudi anawekewa paper yake na anachana,nilimshauri kama anatafuta elimu,bora hata aende Tumaini.
du!huu uzi bado upo tu???View attachment 82960
huuu ndo mtihani wa mwanafunzi wa mwaka wa tatu........!!! kwa computer science kwa hali hii kweli tutafika....... ingekuwa pouwa sana kama serikali itavifungia vyuo vya kizembe kama hivi coz havina tija kwa watanznia
![]()
Acheni siasa chafu na elimu hichi kitu sio kwel kabisa lecha gani anaweza kutoa pepa hio me bado sijaamini kabisa
View attachment 82960
huuu ndo mtihani wa mwanafunzi wa mwaka wa tatu........!!! kwa computer science kwa hali hii kweli tutafika....... ingekuwa pouwa sana kama serikali itavifungia vyuo vya kizembe kama hivi coz havina tija kwa watanznia
![]()
Daah kweli hawa wa Kampala internationally university ni vilaza
Lecturer=lecha.??
Daah kweli hawa wa Kampala internationally university ni vilaza
Lecturer=lecha.??