Uchaguzi 2020 Maajabu ya kampeni CCM Arusha, Joshua Nassari aubamiza Upinzani

Uchaguzi 2020 Maajabu ya kampeni CCM Arusha, Joshua Nassari aubamiza Upinzani

Uliyosema kwa aliye na akili timamu atakuelewa na kutafakari. Kwa aliyejivua ufahamu atasema unasapoti CCM
Sidhani kama ni vema sasa kumuamini Lissu mana alimvua nguo Lowasa kisha yeye mwenyewe akamsafisha

Watanzania tuseme inatosha kuonekana mang'ombe it's enough
 
Wachangiaji kutoka huku Kaskazini wamepungua sana, na sababu mimi ninaijua.

Upinzani una hali ngumu sana ambao hauja wahi kukutana nao kisiasa.
Injili ya CCM imewaingia sana wapiga kura kwa hiyo kazi ni kuwafanya wapiga kura warudishwe kuipigia kura upinzani, nionavyo na ninavyo zungumza nao kama wamehama upinzani.

Hivi nina post tayari nitapigiwa simu kama 30 hivi muda mfupi tuu baada ya mchango wangu huu.
 
Uliyosema kwa aliye na akili timamu atakuelewa na kutafakari. Kwa aliyejivua ufahamu atasema unasapoti CCM

Wewe na yeye nyote ni buku 7. Kusema mna support CCM mbona ni kujikweza mno?
 
Endelea kustaajabu, kwa taarifa tuu na kukusaidia, Joshua Nasari, amejitambua na kuchukua hatua kwa kujiunga na the best party in Tanzania!.
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?

P
Ukweli ndio huo. Lissu alijaribu mchezo wa kuigiza eti ashambuliwe ila asiumie bahati mbaya wezie kwenye mchezo wakabadilisha gear angani. Leo hathubutu kuusema ukweli. Nassari yeye kaigiza kushambuliwa eti risasi ikawauwa mbwa. Amegundua kumsingizia mtu uovu kama huo tena wa kuua ni machukizo kwa Mungu wa Mbinguni
Ametubu na anayasema hayo kwa kuikandia CDM. Mungu ataendelea kuwaumbua wenye sera za uongo na maigizo
 
Mabibi na mabwana, heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.

Wahenga walisema staajabu ya Mussa lakini siyo ya Firauni.

Kwa kweli binadamu tuko tofauti. Huyu bwana alikuwapo siku Mh. Lissu aliponusurika kuuwawa. Je, ni Kwamba amesahau tukio lile au aligundua kuwa hatua ile ilikuwa halali?

Je, huyu si ndiye aliyemtuhumu jiwe kununua wabunge?


Ama kweli nani alijua kuwa petro katawi alikuwa afisa kipenyo wa daraja fulani huko?

Ama kweli staajabu ya Mussa!
Huyu dogo kuna mtu alikufa kwa ajili yake 2010, wanasiasa watu wa hovyo.

Vv
 
Mabibi na mabwana, heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.

Wahenga walisema staajabu ya Mussa lakini siyo ya Firauni.

Kwa kweli binadamu tuko tofauti. Huyu bwana alikuwapo siku Mh. Lissu aliponusurika kuuwawa. Je, ni Kwamba amesahau tukio lile au aligundua kuwa hatua ile ilikuwa halali?

Je, huyu si ndiye aliyemtuhumu jiwe kununua wabunge?


Ama kweli nani alijua kuwa petro katawi alikuwa afisa kipenyo wa daraja fulani huko?

Ama kweli staajabu ya Mussa!
Upinzani hawana jipya kwa sasa...🚮
Magufuli anatosha kuwa Rais wa Tanzania...Tumpe Mitano tena
 
Upinzani hawana jipya kwa sasa...🚮
Magufuli anatosha kuwa Rais wa Tanzania...Tumpe Mitano tena

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Kwa kuyazingatia misingi ya haki na kuheshimu uhuru wa watu, Magufuli hafai.

Mimi na washirika na washirika wangu hatuwezi kumpa Magufuli hata kama ni ubalozi wa nyumba 10.
 
Mabibi na mabwana, heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.

Wahenga walisema staajabu ya Mussa lakini siyo ya Firauni.

Kwa kweli binadamu tuko tofauti. Huyu bwana alikuwapo siku Mh. Lissu aliponusurika kuuwawa. Je, ni Kwamba amesahau tukio lile au aligundua kuwa hatua ile ilikuwa halali?

Je, huyu si ndiye aliyemtuhumu jiwe kununua wabunge?


Ama kweli nani alijua kuwa petro katawi alikuwa afisa kipenyo wa daraja fulani huko?

Ama kweli staajabu ya Mussa!
Hil umelizingatia
 
Back
Top Bottom