Uliyosema kwa aliye na akili timamu atakuelewa na kutafakari. Kwa aliyejivua ufahamu atasema unasapoti CCM
Sidhani kama ni vema sasa kumuamini Lissu mana alimvua nguo Lowasa kisha yeye mwenyewe akamsafisha
Watanzania tuseme inatosha kuonekana mang'ombe it's enough