Sidhani kama ni vema sasa kumuamini Lissu mana alimvua nguo Lowasa kisha yeye mwenyewe akamsafisha
Watanzania tuseme inatosha kuonekana mang'ombe it's enough
Uliyosema kwa aliye na akili timamu atakuelewa na kutafakari. Kwa aliyejivua ufahamu atasema unasapoti CCM
Ukweli ndio huo. Lissu alijaribu mchezo wa kuigiza eti ashambuliwe ila asiumie bahati mbaya wezie kwenye mchezo wakabadilisha gear angani. Leo hathubutu kuusema ukweli. Nassari yeye kaigiza kushambuliwa eti risasi ikawauwa mbwa. Amegundua kumsingizia mtu uovu kama huo tena wa kuua ni machukizo kwa Mungu wa MbinguniEndelea kustaajabu, kwa taarifa tuu na kukusaidia, Joshua Nasari, amejitambua na kuchukua hatua kwa kujiunga na the best party in Tanzania!.
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
P
Arusha sio Kongwa babu ohoooHUYU KIJANA AMEIFUTA CHADEMA RASMI HUKO ARUSHA.
Huyu dogo kuna mtu alikufa kwa ajili yake 2010, wanasiasa watu wa hovyo.Mabibi na mabwana, heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.
Wahenga walisema staajabu ya Mussa lakini siyo ya Firauni.
Kwa kweli binadamu tuko tofauti. Huyu bwana alikuwapo siku Mh. Lissu aliponusurika kuuwawa. Je, ni Kwamba amesahau tukio lile au aligundua kuwa hatua ile ilikuwa halali?
Je, huyu si ndiye aliyemtuhumu jiwe kununua wabunge?
Ama kweli nani alijua kuwa petro katawi alikuwa afisa kipenyo wa daraja fulani huko?
Ama kweli staajabu ya Mussa!
Kabisa mkuuHuyu ni dalali anaweza uza vyote hata alivyonavyo mwilini mwake ndiyo maana ana majina mengine: "siyo riziki."
Hao wahenga uliwaskia wakisema hivyo au nawe ulisimuliwa
Huyu dogo kuna mtu alikufa kwa ajili yake 2010, wanasiasa watu wa hovyo.
Vv
Upinzani hawana jipya kwa sasa...๐ฎMabibi na mabwana, heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.
Wahenga walisema staajabu ya Mussa lakini siyo ya Firauni.
Kwa kweli binadamu tuko tofauti. Huyu bwana alikuwapo siku Mh. Lissu aliponusurika kuuwawa. Je, ni Kwamba amesahau tukio lile au aligundua kuwa hatua ile ilikuwa halali?
Je, huyu si ndiye aliyemtuhumu jiwe kununua wabunge?
Ama kweli nani alijua kuwa petro katawi alikuwa afisa kipenyo wa daraja fulani huko?
Ama kweli staajabu ya Mussa!
Upinzani hawana jipya kwa sasa...๐ฎ
Magufuli anatosha kuwa Rais wa Tanzania...Tumpe Mitano tena
๐๐๐๐๐ Kwa kura yake moja au?HUYU KIJANA AMEIFUTA CHADEMA RASMI HUKO ARUSHA.
Hil umelizingatiaMabibi na mabwana, heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.
Wahenga walisema staajabu ya Mussa lakini siyo ya Firauni.
Kwa kweli binadamu tuko tofauti. Huyu bwana alikuwapo siku Mh. Lissu aliponusurika kuuwawa. Je, ni Kwamba amesahau tukio lile au aligundua kuwa hatua ile ilikuwa halali?
Je, huyu si ndiye aliyemtuhumu jiwe kununua wabunge?
Ama kweli nani alijua kuwa petro katawi alikuwa afisa kipenyo wa daraja fulani huko?
Ama kweli staajabu ya Mussa!
Hil umelizingatia
Amejifuta yeye mwenyeweHUYU KIJANA AMEIFUTA CHADEMA RASMI HUKO ARUSHA.