Ngwasa Omuyaya
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 2,629
- 2,733
Madelu huyu aliyefoji jina, ni mmojawapo ya viongozi wa hovyo sana waliopo CCM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakosa hoja sasa wanasema uongo
CCM imefikia kiwango inaogopa kivuli chake chenyewe. Kwa hiyo sasa, badala ya kujishika na MBO wameamua kukumbatia MBWA.
MBO is acronym for Management By Objectives, while MBWA is Management By Walking Around.
Huyo hayuko level na tl jesca yenyewe atamuangusha kwenye ilo jimbo hataamini
Madelu huyu aliyefoji jina, ni mmojawapo ya viongozi wa hovyo sana waliopo CCM.
Kama li mwigulu lina Phd basi itakuwa phd ya chupiKulinda tumbo lake atafanya kila kinachowezekana chini ya jua.
Pathetic!
my bad.... nilidhani mna uhusiano usiofaa[emoji3]
u good my brother
Viva Magu 2020 to 2030
Could this be Jewish?
No sukumaish[emoji3][emoji3][emoji3]
Viva Magu 2020 to 2030
Ndiyo maana ya ile 2/3 anayotafuta bungeni hata kwa wizi?
Lijuakali alitoa siri ya wizi...
unaongelea huo mkuu??
Viva JPM
Ule alioungelea kachero mbobezi mkuu.
Kwamba muda wote huwa mmejikita kukwiba chaguzi tu.
Ndiyo maana safari hii wazi wazi tunawakumbusha, acheni hii biashara. Haitalipa tena.
Refer.. Lijuakali.".. chadema tuliiba kura"
Viva Magu 2020 to 2030
Naona mkutano umefurikaMabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.
Siku za kampeni ndiyo hizo zinayoyoma.
Kampeni nazo haiishi viroja. Mwendo ni bandika bandua. Mmoja baada ya mwingine.
Sikia mheshimiwa huyu
Ninawasilisha.
Hhahahahahaha.Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.
Siku za kampeni ndiyo hizo zinayoyoma.
Kampeni nazo haiishi viroja. Mwendo ni bandika bandua. Mmoja baada ya mwingine.
Sikia mheshimiwa huyu
Ninawasilisha.
Baada ya wana Bukoba kumkataa na kumzomea Mkuu ........ CCM sasa inaelekea wameanza kukodi watu kuleta vurugu .... Ukiangalia vizuri unaona kabisa wametumwa hao!!