- Thread starter
- #41
Mwigulu Nchemba unataka tukulipue?
Singida walipandisha Timu wewe unaenda kuishusha sasa tukupe kura?
Ana jina la Chatto labda si wa Singida huyo mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwigulu Nchemba unataka tukulipue?
Singida walipandisha Timu wewe unaenda kuishusha sasa tukupe kura?
Hizo zilikuwa kampeni za Magufuli pale Itigi kabla hajarudi Dodoma kuongeza chaji! Huo umati uliletwa na wasanii ndiyo maana unaona baada ya burudani wanakuwa wapo wapo tu!Huyu kweli anawahutubia hao watu au nakosea. Mbona wanaonekana kama wameduwaa wakijiuliza huyu takataka anasema nini? Walivyotulia utadhani huyu mwizi wa majina anayahutubia mawe.
Tazameni Mh. Tundu Lissu akiongea na Watanzania, unaona kabisa umati unavyoitikia kwa shamra shamra na vigelegele tele.
Huyu aombe Mh. Tundu Lissu asikanyage Itigi.
Huyo ni kawaida yake. Jiwe ndio anapenda sana roho za aina hiyo.Wanakosa hoja sasa wanasema uongo
Kiufupi there something behindAna jina la Chatto labda si wa Singida huyo mkuu.
Mugulu ni sawa na Yudah ...... !!Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.
Siku za kampeni ndiyo hizo zinayoyoma.
Kampeni nazo haiishi viroja. Mwendo ni bandika bandua. Mmoja baada ya mwingine.
Sikia mheshimiwa huyu
Ninawasilisha.
Mugulu ni sawa na Yudah ...... !!
Huyo mliye mtaja huwa simsikiliza maana huwa ana hoja za uongoMabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.
Siku za kampeni ndiyo hizo zinayoyoma.
Kampeni nazo haiishi viroja. Mwendo ni bandika bandua. Mmoja baada ya mwingine.
Sikia mheshimiwa huyu
Ninawasilisha.
Lijualikali yupi? Aliyekuwa anaomba kazi yoyote hata kama ni ya kudanga sembuse ya kudanganya ili mkono uende kinywani?
CHADEMA aibe uchaguzi upi wakati tume yote yenu?
Kwamba reference ni mdangaji? Labda kama wote mna danga moja!
povu....
Lijuakali said it all jinsi chadema tulivyoiba kura..
Viva Magu 2020 to 2030
Tunacho fahamu hakuna kibaraka hapa zaidi ya mfumo wetu wa kidemokrasiaMabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.
Siku za kampeni ndiyo hizo zinayoyoma.
Kampeni nazo haiishi viroja. Mwendo ni bandika bandua. Mmoja baada ya mwingine.
Sikia mheshimiwa huyu
Ninawasilisha.
Nape, Makamba na wengineo hawajtumika kabisa kwenye kampeni msimu huu?