Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Uyu anataka nilipue nyumba ya watu af haina bimaNimejizuia kucheka ila nimeshindwa🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠ðŸ¤
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uyu anataka nilipue nyumba ya watu af haina bimaNimejizuia kucheka ila nimeshindwa🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠ðŸ¤
Sawa bhnaWahi SICK BED
Ahahahah nikilipua itskuwaje sasa nimeacha nipo seblen nacho tv🤣🤣🤣🤣🤣 Mkuu umenifanya nicheke mpaka watu wananishangaa hapa. Nyumba yenyewe yakupanga na viberiti tena chooni lol🤣
Hapo sasa maana kinyesi ni gas hiyo 🤣🤣Ahahahah nikilipua itskuwaje sasa nimeacha nipo seblen nacho tv
Acha kabisa na nyumba zetu za tz hazina bimaHapo sasa maana kinyesi ni gas hiyo 🤣🤣
Baba mtoto unakula mtoto umemuachia naniTaratib mkuu tunakula.
Msala wote unakuangukia wewe, na wabongo walivyo wambea, utasikia "Tulimuona Mwachiluwi akiingia na kiberiti chooni"🤣🤣Acha kabisa na nyumba zetu za tz hazina bima
Ahahahah uzuri ni nyumba nzima nipo peke yanguMsala wote unakuangukia wewe, na wabongo walivyo wambea, utasikia "Tulimuona Mwachiluwi akiingia na kiberiti chooni"🤣🤣
😂😂😂Nikilaga sitaki kelele, huyu dogo analia mno we acha tu.Baba mtoto unakula mtoto umemuachia nani
Ww ulikuwa unasumbua pia wakat upo mtoto😂😂😂Nikilaga sitaki kelele, huyu dogo analia mno we acha tu.
Huyu Sasa kiboko Yao, utazani anawania tunzo, daah.Ww ulikuwa unasumbua pia wakat upo mtoto
Aaah bhasi hapo full kuniachia, ukiweka vinjiti vya kiberiti unaacha mlango wa choo wazi alafu unakaa sebuleni unazungusha pua tu kuiskilizia harufu inakuja ama imekata kweli🤣🤣🤣Ahahahah uzuri ni nyumba nzima nipo peke yangu
Niletee nikae nae bcHuyu Sasa kiboko Yao, utazani anawania tunzo, daah.
Nikilipua nyumba nakuita tufanyie ukarabatiAaah bhasi hapo full kuniachia, ukiweka vinjiti vya kiberiti unaacha mlango wa choo wazi alafu unakaa sebuleni unazungusha pua tu kuiskilizia harufu inakuja ama imekata kweli🤣🤣🤣
Hakika utanisaidia sana mkuu.Niletee nikae nae bc