Sisyphus
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 4,062
- 5,741
Haiepukiki kwa niniHii kitu sio kabisa japo haiepukiki kwasababu za hali kiuchumi tu lakini ni mwanzo wa kutokupiga hatua
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiepukiki kwa niniHii kitu sio kabisa japo haiepukiki kwasababu za hali kiuchumi tu lakini ni mwanzo wa kutokupiga hatua
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
😆😆😆Tangu utaratibu wa kuchukua benki advance uanze kwenye benki zetu Kuna jambo Moja ajabu sana.
Hakuna anayependa ijulikane..watu wanajisevia kimya kimya. Yaani kwenye hili ama wanaojua ni benki pekee. Hakuna anayefanya kiwazi wazi
Sasa kasheshe iko kwenye kuona balance mwisho wa mwezi. Mimi mwenyewe nishapata tabu kuamini kiasi kimeenda wapi kumbe benki advance..
Yote haya ni kutokana na ugumu wa maisha watu wanachukua sana hata kama watabisha
Dezo kwani za bure?Watumishi mnapenda dezo sana...afu mostly wanaochukua hizi pesa huwa wanaenda kulewa tu
Ukiendekeza unakua mtumwa wa bankTangu utaratibu wa kuchukua benki advance uanze kwenye benki zetu Kuna jambo Moja ajabu sana.
Hakuna anayependa ijulikane..watu wanajisevia kimya kimya. Yaani kwenye hili ama wanaojua ni benki pekee. Hakuna anayefanya kiwazi wazi
Sasa kasheshe iko kwenye kuona balance mwisho wa mwezi. Mimi mwenyewe nishapata tabu kuamini kiasi kimeenda wapi kumbe benki advance..
Yote haya ni kutokana na ugumu wa maisha watu wanachukua sana hata kama watabisha
Au salary advance!!?benki advance
Nikiwa nasoma comment kufika hapa ndo nikaelewa nini kinajadiliwaSalary advance,, nadhan ndicho unachozungumzia
Wewe pia hujui kuandika, "uwezi "ina maana gani?Na wewe ni mtumishi wa umma?!! Ndio hata kuandika huwezi!!!,
Aisee itachukua muda hii Nchi kujikwamua kwenye umasikini Kama watumishi wenyewe ni dizaini yenu
Unataka wafanyie nini?Watumishi mnapenda dezo sana...afu mostly wanaochukua hizi pesa huwa wanaenda kulewa tu
Sawa mkuuUnataka wafanyie nini?
Wasalimie watu wa Kamgendi, Masulura, Nyambiri, wegero na Kongoto.
HahahahajSiku moja nilitaka kukolapsi' waliponiambia huduma hii imesitishwa kwa sasa...
😂😂😂😂😂😇😇😇😂😇😇😂😂
.....Tangu utaratibu wa kuchukua salary advance uanze kwenye benki zetu Kuna jambo Moja ajabu sana.
Hakuna anayependa ijulikane..watu wanajisevia kimya kimya. Yaani kwenye hili ama wanaojua ni benki pekee. Hakuna anayefanya kiwazi wazi
Sasa kasheshe iko kwenye kuona balance mwisho wa mwezi. Mimi mwenyewe nishapata tabu kuamini kiasi kimeenda wapi kumbe salary advance..
Yote haya ni kutokana na ugumu wa maisha watu wanachukua sana hata kama watabisha
Kama wanachukua kwa siri wewe umejuaje magumu wanayopita nayo ???.....
Leo tarehe 30/5 mm nimesha lamba aisee hali ngumu jamani miaka mitano ya magu bila nyongezaTangu utaratibu wa kuchukua salary advance uanze kwenye benki zetu Kuna jambo Moja ajabu sana.
Hakuna anayependa ijulikane..watu wanajisevia kimya kimya. Yaani kwenye hili ama wanaojua ni benki pekee. Hakuna anayefanya kiwazi wazi
Sasa kasheshe iko kwenye kuona balance mwisho wa mwezi. Mimi mwenyewe nishapata tabu kuamini kiasi kimeenda wapi kumbe salary advance..
Yote haya ni kutokana na ugumu wa maisha watu wanachukua sana hata kama watabisha
Watumishi wote ni waalimu wa lugha ?Na wewe ni mtumishi wa umma?!! Ndio hata kuandika huwezi!!!,
Aisee itachukua muda hii Nchi kujikwamua kwenye umasikini Kama watumishi wenyewe ni dizaini yenu