Chapati Tatu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2024
- 338
- 740
Kununua chakula na kula chakula kinachoandaliwa kwenye mazingira haya ni muujiza mmojawapo wa kuishi kibachela.
.
Tupe muujiza wako
maajabu
.
Tupe muujiza wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hichi ndio huwa nachoka wapo Barabara manzese wanauza vyakula haieleweki wanatoa wapi maji yakuoshea itakuja kuzuka magonjwa ya ajabu bwana afya wajaribu kupitia hao mama ntilieMaji ya kuoshea vyombo hawayamwagi wanasuzia vyombo kuanzia asubuhi mkapa usiku hayo hayo.
Hapo mbona fresh tu na msosi wake unakuwaga bombaKununua chakula na kula chakula kinachoandaliwa kwenye mazingira haya ni muujiza mmojawapo wa kuishi kibachela.
.
Tupe muujiza wako
View attachment 3078746maajabu
Mbona ni sehemu murua sana .Nini shida hapo?Kununua chakula na kula chakula kinachoandaliwa kwenye mazingira haya ni muujiza mmojawapo wa kuishi kibachela.
.
Tupe muujiza wako
View attachment 3078746maajabu
Hichi ndio huwa nachoka wapo Barabara manzese wanauza vyakula haieleweki wanatoa wapi maji yakuoshea itakuja kuzuka magonjwa ya ajabu bwana afya wajaribu kupitia hao mama ntilie
TafaadhalKwani hapo Nini Cha ajabu!?
Gharama ya kujipikia na kununua zikoje??Sio Bachela wote wananunua chakula na kula hapo, wapo wanaojipikia wenyewe maghetton kwao.
Cha msingi tumbo lijaeKununua chakula na kula chakula kinachoandaliwa kwenye mazingira haya ni muujiza mmojawapo wa kuishi kibachela.
.
Tupe muujiza wako
View attachment 3078746maajabu
Aaaaaaah boksa???Kufuta sahani na glass kwa kutumia pazia, vest na boxa
aijalishi limejaa nnCha msingi tumbo lijae