Maajabu ya kuwa Bachela

Maajabu ya kuwa Bachela

Chapati Tatu

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2024
Posts
338
Reaction score
740
Kununua chakula na kula chakula kinachoandaliwa kwenye mazingira haya ni muujiza mmojawapo wa kuishi kibachela.
.
Tupe muujiza wako
IMG_20230816_123827.jpg
maajabu
 
Hichi ndio huwa nachoka wapo Barabara manzese wanauza vyakula haieleweki wanatoa wapi maji yakuoshea itakuja kuzuka magonjwa ya ajabu bwana afya wajaribu kupitia hao mama ntilie

Hawa mama lishe wabahili sana ,wanaona gharama kununua dumu la maji la mia 5 ,bora wasuzie hayo hayo kuanzia rukwili mpaka ruchwili.
 
Back
Top Bottom