peterchoka, ahsante sana mkuu kwa hizo health tips! Kweli miili yetu ina sumu nyingi sana kutokana na life styles zetu za maisha ya sasa. Sometimes hizi sumu hazikwepeki kwenye vyakula vyetu vya kila siku
Ivi kuharisha ndo kutoa sumu?
Make kuna ugonjwa wa kuhara sa sijui inakuaje.