Maajabu ya Mbowe, Fatma Karume na Zitto: Wako kimya licha ya gharama za maisha kupanda. Kipindi Magufuli kaziba maslahi yao kelele kila siku!

Status
Not open for further replies.
Unataka wafanyeje? Watoke Barabarani na Familia zao waandamane kwa niaba yenu nyie mkiwa facebook sio? Acheni ujinga walisha ona Watanzania sio watu wa kupiganiwa
Na huo ndio ukweli wenyewe !! Sasa tusubiri tu uwezo wa Mungu!!
 
Umenena!
 
Tamaduni zetu za kiafrica haziruhusu mtoto akiwa ANAKULA kuongea!!!
 
Unataka wafanyeje hasa? Yaani watoke Barabarani waandamane kwa niaba yenu sio? Huo ni upimbi
Waseme tu kama walivyokuwa wanasema zamani !! Tena kwa sasa ndio upo uhuru wa kusema kuliko ilivyokuwa awamu iliyopita !! Watu wakiwaona kimya hivi sasa ndio speculation za Asali zinakuwa na nguvu !!
 
Huna akili wewe, mbowe ndo Rais wa Russia au Ukraine,
Huwa kabla hamjaandika uharo wenu tumia akili kutafakari
 
Wameshapiga harakati nyingi ila tunaopambaniwa tumeweka mikono nyuma tuna tamani sana pesa zitiririkie kwenye mifuko yetu tukiona tunajifaidisha
Kumbe tungeacha zitiririke katika kisima ambacho kila mtu angekuja kuchukua kidogo kwa mahiyaji yake tungefaidika zaidi
 
Kuna usemi unasema kwamba when things go right go left, wanachokifanya akina Tundurisu na Fatima karume ni kutuonyesha watanzania nikwanamna gani wanapigania Matumbo Yao nasio wananchi, but all in all JPM was the best leader #rest_in_power_my_leader
Tangu waanze kuwapigania ni lini mliwaunga mkono? kila mtu afanye yake
 
Wezako walipiga kelele enzi za chuma wewe sasa piga sasahivi enzi za plastic
 
Kwani ulitarajia nini? Magufuli aliapa hanunui vibaraka. Unakumbuka yale mapesa aliyopewa jamaa mmoja na nyingine akaenda kupewa kule Ujerumani kwa mama mmoja wa Inwent? Huyu jamaa na huyo mama walitishia kumshtaki yule aliyeibua hilo jambo. Walimshtaki? Jamaa akadhani kwa Magu ataenelea kupata huo mgao. Alipokosa akawa mkali kuliko pili pili. Kuna kila dalili kaanza tena ule mrija. Mbowe alikaa nyumba ya serikali bure, Magu alipomgundua na kumtaka alipe kodi au aondoke hatokaa asahau uhondo uliomponyoka. Atamsingizia kila ushetani. Fatuma unatarajia aongee nini ?
 
Hiyo " mwamba makamba" bila shaka Ni "mwamba kalamba" hapo.
 
Fursa hiyo. Zungumzia wewe juu ya hali ngumu ya maisha. Kwani Mbowe alizaliwa kukuzungumzia wewe?
Mbowe hajazaliwa ili akuzungumzie wewe. Kama unaona shida kamata fursa hiyo.
 
kipindi kile si mlisema wanapiga kelele acha wakae kimya na mm natamani wakae kimya ili tuache unafiki

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…