Ile ni mashine/engine ya petrol ambazo ni multpurpose, kwa hapa tanzania zinazotumika sana ni auna ya AMEC na JD, kwa sasa JD ndio inatumika. Hizo gARI ZA MOHAMED ENTPRS ni body mfano wa gari imeundwa kisha ikafungwa hizo mashine, hzo mashine zake hazina tofauti na iliyofungwa kwenye POWERTILLER, pia zinatumika kwenye SAWmills sna maeneo wanayopasua miti ya mbao,hasa MAFINGA, lakini pia mashine au hizi injini hutumika kuzalishja umeme,zinafungwa na mota kubwa za kufua umeme kisha unasambazwa,hii ilikuwa ikitumika sana pale RUAHA MBUYUNI kabla ya umeme wa REA haujafika, lakini pia hutumika vijinini kuendeshea vinu vya kusagia na kukoboa (mashine za kusaga na kukoboa. Kiufupi hizo gari za mohamedi ukizichunguza ni kuwa gear box yake inazungushwa na belt/mkanda unaotoka kwenye gurudumu kubwa lililofungwa kwenye hiyo mashine ya amec/jd, yaani haina tofauti na kama ilivyo kwenye powertiler au mashina ya kusaga;. ni hayo tu,ikizona zichunguze,chungulia kwa chini utaona hito mashine imefungwa katikati ya bodi kisha belt imeenda mbele kwenye gear box