Maajabu ya MO Enterprises

Maajabu ya MO Enterprises

Unajua nyani huwa anaziba macho akiamini kuwa yeye haoni basi na wengine pia wanaomuangalia nao hawaoni.

Kama umeelewa ulichoandika basi AMINI wote pia wanaosoma wameamini nao.

Hivi kweli jamani mashine za kusagia unaweza kusambazia bidhaa mitaani?.
 
Hajifunzi kwa Bakhresa huyu mhindi,sijui kwa nini
 
da! N hatar, tena kw haya yanayomsambazia maji ndo kero kabsa.
 
SIVIPENDI BALAAA VILE VIGALI SIJUI TREKTA VYA TAIRI TATU, tuku tuku tuku tuku tuku nyingi sana barabarani!
ni kero vile vigali!
 
Unajua nyani huwa anaziba macho akiamini kuwa yeye haoni basi na wengine pia wanaomuangalia nao hawaoni.

Kama umeelewa ulichoandika basi AMINI wote pia wanaosoma wameamini nao.

Hivi kweli jamani mashine za kusagia unaweza kusambazia bidhaa mitaani?.

Usafiri wenyewe unaufaham lakini?
 
Ni madoido au marembo?
mbona hukuandika Balafuyamoyo?

Nawe je ni madoido au urembo?
mbona umeandika nzalendo?
wewe ni ntu ya ntwara??
Hata hivyo, imependeza ulivyopaka rangi "vigali"! na rangi umeipatia, mi mnyama!
 
Last edited by a moderator:
Ile ni mashine/engine ya petrol ambazo ni multpurpose, kwa hapa tanzania zinazotumika sana ni auna ya AMEC na JD, kwa sasa JD ndio inatumika. Hizo gARI ZA MOHAMED ENTPRS ni body mfano wa gari imeundwa kisha ikafungwa hizo mashine, hzo mashine zake hazina tofauti na iliyofungwa kwenye POWERTILLER, pia zinatumika kwenye SAWmills sna maeneo wanayopasua miti ya mbao,hasa MAFINGA, lakini pia mashine au hizi injini hutumika kuzalishja umeme,zinafungwa na mota kubwa za kufua umeme kisha unasambazwa,hii ilikuwa ikitumika sana pale RUAHA MBUYUNI kabla ya umeme wa REA haujafika, lakini pia hutumika vijinini kuendeshea vinu vya kusagia na kukoboa (mashine za kusaga na kukoboa. Kiufupi hizo gari za mohamedi ukizichunguza ni kuwa gear box yake inazungushwa na belt/mkanda unaotoka kwenye gurudumu kubwa lililofungwa kwenye hiyo mashine ya amec/jd, yaani haina tofauti na kama ilivyo kwenye powertiler au mashina ya kusaga;. ni hayo tu,ikizona zichunguze,chungulia kwa chini utaona hito mashine imefungwa katikati ya bodi kisha belt imeenda mbele kwenye gear box
 
Sasa ye si ndo kaamua kwa faida zake mwenyewe. Au kavunja sheria za nchi? Mwacheni mbunge wangu
 
Huyu ndio billionea kijana lakini ana wadhifa wa mbunge tena wa kuchaguliwa, karibia vipindi viwili alivyokaa bungeni inasemekana hakuwahi kuchangia wala kuuliza swali! Kiufupi 'najipinga' mwenyewe, huyu sio mbunge bali 'mfadhili' wa jimbo la Singida Mjini.
Pia kuweka sawa kumbukumbu aliingia kwenye mgogolo wa kujitwalia kiwanja cha serikali mjini Dar es Salaam na kumsababishia lawama waziri wa fedha Mustafa Mkukulo!
 
Usafiri unaotumiwa na kampuni hii ya Mohamed interpress kusambaza bidhaa zake hasa kwa hapa dar ni matrekta,caterpillar,listerpeter,au ni mashine zakusaga?
Hahahahaha
 
Huyu ndio billionea kijana lakini ana wadhifa wa mbunge tena wa kuchaguliwa, karibia vipindi viwili alivyokaa bungeni inasemekana hakuwahi kuchangia wala kuuliza swali! Kiufupi 'najipinga' mwenyewe, huyu sio mbunge bali 'mfadhili' wa jimbo la Singida Mjini.
Pia kuweka sawa kumbukumbu aliingia kwenye mgogolo wa kujitwalia kiwanja cha serikali mjini Dar es Salaam na kumsababishia lawama waziri wa fedha Mustafa Mkukulo!

Sijawahi kumuona bungeni kupitia luninga!
 
Back
Top Bottom