Maajabu ya Mungu: Kijana ataka kuzamia Ulaya kwa kujificha kwenye injini ya ndege

Maajabu ya Mungu: Kijana ataka kuzamia Ulaya kwa kujificha kwenye injini ya ndege

tzkwanza

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2018
Posts
1,568
Reaction score
3,610
Hapa ni Mungu tu aliyemuokoa huyu dogo. Sisi tuliosoma Physics japo ya St. Kayumba tunajua nini kingemkuta huyu dogo baada ya Injini kuwashwa.

Kwa kifupi hata unywele wasingeambulia ndugu zake.

 
Simu yangu haifungui video attachment kama hizi, mwanzo ilikuwa inafungua bila shida. Mwenye ujuzi wa kusolve hii shida naombeni msaada.
Ok. Ngoja wataalam waje watakusaidia.
 
Back
Top Bottom