Mponda 02
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 528
- 498
Thanks, kwa browser inafungua!Tumia browser
Ova
Ila nilikuwa napendelea zaidi app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks, kwa browser inafungua!Tumia browser
Ova
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Ha ha ha dogo hajui chochote. Yeye akiona ndege anajua inaenda kwa Trump kumbe nyingine zinaishia Chato.
Hii ni jet engine sio propeller engine. Ni kweli angeleta madhala makubwa sana kwa engine achilia mbali yeye maana tunajua nini ingekuwa hatima yake. Wenzake hujificha kwenye landing gear.Baada ya ndege kuwashwa engine hiyo ingelipuka na kuripua ndege nzima. Sababu ni kwamba zile pangaboy za hiyo engine zisingeweza kuukatakata mwili mzima bila kustuck.
Hapo kajaribu maisha Au kifo?!🤔🤦♂️Bora dogo kajaribu maisha ila ndio ivyo, wenzangu na mimi tunagombani msosi na wadogo zetu nyumbani.
😂 😂 😂 😂 😂Ha ha ha dogo hajui chochote. Yeye akiona ndege anajua inaenda kwa Trump kumbe nyingine zinaishia Chato.
Kuna mtu kasema hapo ni tz?Sio Tanzania jamani. Nadhani nchi za afrika magharibi huko. Ila akili yake si nzuri huyu dogo kiujumla
Uliona post namba 7? Uliweza kuona post namba 18?Ku
Kuna mtu kasema hapo ni tz?
Nimeziona mkuu, kwani terminal 1 ipo tanzania tu? Pia ndege haiwezi toka mombasa ikatua zanzibar au mafia?Uliona post namba 7? Uliweza kuona post namba 18?
Sio siri ujinga ni mzigoHapa ni Mungu tu aliyemuokoa huyu dogo. Sisi tuliosoma Physics japo ya St. Kayumba tunajua nini kingemkuta huyu dogo baada ya Injini kuwashwa.
Kwa kifupi hata unywele wasingeambulia ndugu zake.
View attachment 1494337
Unasema.Bora dogo kajaribu maisha ila ndio ivyo, wenzangu na mimi tunagombani msosi na wadogo zetu nyumbani.
Itakuwa Guinea au Cameroon. Wanaongea kifaransa. Halafu shati ya police ina bendera kama ya Cameroon ama Guinea. Ila wanamuuliza dogo kuwa alitaka kwenda France namna hiyo ?Wapi huko?
Msilumbane, hizi ni Bongo Movies!Nimeziona mkuu, kwani terminal 1 ipo tanzania tu? Pia ndege haiwezi toka mombasa ikatua zanzibar au mafia?