Maajabu ya Mungu: Kijana ataka kuzamia Ulaya kwa kujificha kwenye injini ya ndege

Maajabu ya Mungu: Kijana ataka kuzamia Ulaya kwa kujificha kwenye injini ya ndege

Simu yangu haifungui video attachment kama hizi, mwanzo ilikuwa inafungua bila shida. Mwenye ujuzi wa kusolve hii shida naombeni msaada.
Hii shida nimelalamika sana humu mpaka nimechoka sikuhizi nikiona attachment napita kama siioni labda nipate nguvu baada ya wewe kukumbusha hivi huenda tutapata msaada
 
Simu yangu haifungui video attachment kama hizi, mwanzo ilikuwa inafungua bila shida. Mwenye ujuzi wa kusolve hii shida naombeni msaada.
Mwanzo ilikuwa inaniletea options open with Jamiiforums app or videoder nikachaguaga videoder ikawa zinafunguka sasa siku nyingine ikauliza tena nikachagua open with Jamiiforums app ndo haikufunguka tena kitu yoyote iliyoletwa kama attachment bali inaishia hapa[emoji116]
Screenshot_20200703-191436.jpg
 
Aliziba injini ya ndege akifikiri kuwa ndege huwa inaruka kwa kudra za mwenyezi Mungu!
 
Itakuwa Guinea au Cameroon. Wanaongea kifaransa. Halafu shati ya police ina bendera kama ya Cameroon ama Guinea. Ila wanamuuliza dogo kuwa alitaka kwenda France namna hiyo ?
uko vzr mchumba [emoji122][emoji122]
 
Back
Top Bottom